CIA walimuua Bob Marley?


Vipi kuhusu ishu ya Senzo.......Dube alihusika.......?.......
 
Watu bhana!...mbona mnaleta mzaha? Eti Kanumba nae CIA inahusika?...
 
Dini ndiyo kipimo harisi cha upeo wa mwanadamu ulipoishia,kuna dini zingine unaabudu sababu ya ueleo wako kuwa mdogo au mkubwa,
 
ha ha ha ha ha huna maana wewe.
Ahahahahaha, unashangaa CIA kumuua Kanumba the great? Mbona nasikia ata bi Kidude ni hao hao CIA walimuua?
Ebu gonga hapa uone mwenyewe bila chenga:GOOGLE. COM
 
Siamini hayo...conspirancy theories tu...mara Tupac,BIG,Jimmy Hendrix,Bob marley,Malcom x<Martin Luther jr n.k wote wameuwawa na CIA.Baadhi inawezekana.Kwa Bob nakataa..uvutaji ule wa bangi wa bob was not very healthy...
Unamfahamu mwanamuziki mmoja anaitwa burningspear?uliza alianza kuvuta bangi lini?na mpaka sasa anaumri gani,kwa nini hajafa,usikubari kukalilishwa vitu vingine kiurahisi,pombe inamazara makubwa kuliko bangi,kiuchumi na hata kijamii,
 
Unamfahamu mwanamuziki mmoja anaitwa burningspear?uliza alianza kuvuta bangi lini?na mpaka sasa anaumri gani,kwa nini hajafa,usikubari kukalilishwa vitu vingine kiurahisi,pombe inamazara makubwa kuliko bangi,kiuchumi na hata kijamii,
 

Attachments

  • 1460299829938.jpg
    55.3 KB · Views: 124
Vipi kuhusu ishu ya Senzo.......Dube alihusika.......?.......
Sijapata kusoma article yoyote inayosema kifo cha senzo anahusika dube, lkn watu hudhani senzo aliuwawa na wahuni waliokua wamekodiwa na dube, labda sababu ya wivu, maana senzo alikua mpika kinanda wa dube na akaamua kujitenga na kuanzisha bendi yake, album yake ya kwanza "worshipping your love" 1999 ilifanya vizuri sana kwenye soko la ndani na hata nje ya nchi. Inasema kana dube alishtuka sana kwa huo ujio wa bwana mdogo na akaamua kumfutilia mbali. Binafsi siamini theory kwani mwaka 1999 dube alikua tayari ana mafanikio makubwa sana kimuziki.
 
Dube pia alikua havuti bangi wala kunywa pombe, alisali dhehebu la kikristo liitwalo shembe. (Shembe is the way)
 
hiyo kitu inahitaji uwe na uzoefu wa kupiga kijiti kwa mda usiopungua miaka 15
 
Vimelea vya kansa ndiyo vitu gani hivyo? Vikoje?
 
Mkuu angaalia tusije sikia uko sober house bagamoyo a k a kwa Child,chi chi chiiiii
 
Bob Marley kilichomuua ni kuzidisha kuvuta Bangi!! Mengine ni mbwembwe tu za wanazi na wapenda bangi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…