Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,440
- 3,247
Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo hazipo.
info@mri.ac.tz
principal@mri.ac.tz
Kama kuna mtu anawajua vizuri hiki chuo msaada tafadhali namna ya kuwafikia kwa njia za kisasa sio kusafiri kwenda Dodoma. namna ya kufanya application ama kuconfirm selection maana hawajitangazi, hawafanyi kila kitu nimesearch tu hata taarifa zao zipo kwa uchache sana mpaka nawaza kama hamna kitu pale
info@mri.ac.tz
principal@mri.ac.tz
Kama kuna mtu anawajua vizuri hiki chuo msaada tafadhali namna ya kuwafikia kwa njia za kisasa sio kusafiri kwenda Dodoma. namna ya kufanya application ama kuconfirm selection maana hawajitangazi, hawafanyi kila kitu nimesearch tu hata taarifa zao zipo kwa uchache sana mpaka nawaza kama hamna kitu pale