castor magnus
Member
- Sep 25, 2017
- 56
- 20
Wewe waonajee Yankees, yaaaan mtu unajivunia kusoma pale.... Maana kwa rank za Africa udsm it's number 5 so you must be proud yourself to be there my brotherKwa hiyo kusoma UDSM ni jambo Kubwa?????
Wewe waonajee Yankees, yaaaan mtu unajivunia kusoma pale.... Maana kwa rank za Africa udsm it's number 5 so you must be proud yourself to be there my brotherKwa hiyo kusoma UDSM ni jambo Kubwa?????
Wewe acha Hizo... Unaambiwa the more you save is the more you earn..... So don't thinks kwamba ukipata kazi ndo utaanza maishaMada nyingine za kitoto alafu bado unapata pata ka boom basi unaweza anzisha mada ya hivi, ngoja umalize uanze kuzunguka na bahasha
Hili nalo neno mkuu mwenyew nipo mkoa, joto ni kubeaawa mno la kuja mjin dat y maomb ya udsm yalikuwa meng kitu kingin ni mentality iliojengeka akilin wma watu kuhus icho chuo, mfan mi nimekosa udsm coz ambayo ilikuwa inahitaj watu 45 tu sasa niach kwingin kisa ud wakat nina Two na kuna walioenda ud wana Two pia ko hao wanainizid vp uwezo? Af pia kuna koz hamna apao ko watu watake hapo tu.Ushamba tu hakuna lolote wengi wa mikoani wanataman kuja kuosha macho dar watu wana div 1 pt 3 wamesoma vyuo vingine na wapo vzr tu
Yaa ....ni kweli vingine vinashiriki tu....vinaitwa vyuo vikuu shirikishiKipo Chuo Kikuu kimoja tu Tz.Na kinafahamika .You just name it with full pomposity...Udsm.
Hahaaaaa! Kumbe ni wa kitambo kiasi! Salute mkuu.yombo 5? nakumbuka ni 1&2 au walikuja kuongeza venue.? nilikuwa nakaa hall 6 hapo
yap.waziri wetu wa mikopo alikuwa mtatiro huyu unaemskia CUF hukoHahaaaaa! Kumbe ni wa kitambo kiasi! Salute mkuu.
MsameheYombo 5 inaweza kubeba watu wangapi?
Mbona unaongea kama division 1 ziko UDSM pekee. Wengi wenu mnategemea kuajiriwa, na waajiri wameshajua hizo lugha zenu ndio maana wanawaacha kwenye ajira, maana wanawajua badala ya kupiga kazi unashinda unawaambia wenzio nimesoma UDSM. Msiwaponze wahitimu wengine.
Hajui wewe ni Baba yake. Huenda ulisoma enzi za Mkapayombo 5? nakumbuka ni 1&2 au walikuja kuongeza venue.? nilikuwa nakaa hall 6 hapo
Hajui kuna ajira za aina nyingiSio lazima usome ili uajiriwe.Unasoma ili uelimike
Pole sana Mkuu.Umekwepa maswali madogo tu, umefanya logical non sequitur, umedhihirisha utapiamlo wa fikra.
Endelea kufikiri hivyo.Una utapiamlo wa fikra, umesoma UDSM lakini hujui hata kufikiri. Sehemu ya kutumia mantiki sikwenye usaili tu.
Hajui anachokiongea Mkuu.Wewe acha Hizo... Unaambiwa the more you save is the more you earn..... So don't thinks kwamba ukipata kazi ndo utaanza maisha
Karibu sana kiongoziKatika Chuo kilicho nifundisha uvumilivu wa katika maisha UDSM hasa wakati wa wakina owawa, touwa, silinde.