Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Kwa hiyo unataka kusema kwenye vyuo vingine kama vile mzumbe, SUA, SAUT, Morogoro muslim university watu wenye division one hawapo!

Mambo mengine ni matakwa binafsi mtu anachagua aende chuo gani kwa sababu mbalimbali, mf.uchumi, ukaribu n.k

Kungekuwa na mtihani wa mwisho wa taifa vyuoni ndiyo ungeelewa naamanisha nini!!

Divisheni one zipo lakini ni chache sana.

Mtu aliepata one huchagua vyuo vingine ikiwa Udsm hakuna Kozi anayoitaka kusomea.

Pia bandiko langu limebeba ujumbe wa kuwa kama umefeli usihangaike kulaumu kwa nini hukuchaguliwa Udsm.

Mbona hata Rais wako hilo analijua na kuliheshimu
 
The end justifies the means....
Pita west nipite East jambo la msingi tufike tunakotaka kufika...
Mwenzako mimi hata chuo sijafika ndugu nimepoteza mapena hata kabla ya pambano


Jifariji mkuu.

Pita huko nipite huku ila mpaka sasa pambano moja umepigwa vibaya mno
 
Kwa hiyo unataka kusema kwenye vyuo vingine kama vile mzumbe, SUA, SAUT, Morogoro muslim university watu wenye division one hawapo!

Mambo mengine ni matakwa binafsi mtu anachagua aende chuo gani kwa sababu mbalimbali, mf.uchumi, ukaribu n.k

Kungekuwa na mtihani wa mwisho wa taifa vyuoni ndiyo ungeelewa naamanisha nini!!
Ni kweli mkuu, mana hata hapo udsm kuna watu wameenda tumekaa nao class moja na tulikuwa tunakimbiza vzr tu, lkn first choice zetu hazikuwa udsm japo kusoma udsm ni vzr ila kutokusoma pia hakupunguz maarifa...!!!
 
Mada nyingine za kitoto alafu bado unapata pata ka boom basi unaweza anzisha mada ya hivi, ngoja umalize uanze kuzunguka na bahasha
Nimalize chuo kipi tena mkuu. Nimeshamaliza hilo pambano kitambo.

Hujaona nimeandika nina biashara yangu
 
Chamsingi wasikate tamaa udsm ipo wataenda hata kuunga bando la chuo. Hayo tu
 
mweka college of wildlife naona cha maana hata kuliko hiyo UDSM
Hata zoom ni nzuri inategemea na malengo ya mtu. Mfano kuna kazi nyingi za usekretari Nimeiona wanarecommend uwe umesoma magogoni pale ss kama ulisoma chuo kingine sijui inakuwaje
 
Hata zoom ni nzuri inategemea na malengo ya mtu. Mfano kuna kazi nyingi za usekretari Nimeiona wanarecommend uwe umesoma magogoni pale ss kama ulisoma chuo kingine sijui inakuwaje
wamekariri
 
Back
Top Bottom