Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
- #81
Mtu anasoma Engineering unataka aandike Insha kama Mwandishi wa habari.UDSM chenyewe wanafunzi wanasoma wanahitimu hata kuandika insha hawajui.
Hicho ndicho chuo kinagombaniwa.
Kweli ukiwa jangwani hata matope utaita maji safi.
Nilivyokuwa nasoma A Levels enzi zangu, nilikuwa napenda sana Particle/ theoretical Physics.
Nikawa naenda UDSM kuangalia library yao, imechooka, vitabu vya tangu ukoloni.
Nikaenda American Library Peugeot House nikakuta vitabu vya mwaka mmoja uliopita vyenye latest updates vipo.
Nikaona tunacheza.
umeongea uongo mkubwa sana. Udsm mtu asijue kuandika insha. Looh!
Unachanganya Vyuo mkuu