Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Sijajua kwanini wanafunzi na wahitimu wa Udsm wengi hujiona wako bora sana zaidi ya wengine, Ni bora asimame mhitimu wa SUA ajisifi ( kama kuna ulazima) kwani wana mchango wa moja kwa moja kwenye jamii yetu, sio unasomea sheria uchwara ya udsm unakuja kuleta ujinga wako huku, hamna lolote la maana nyie.
Nani kasema waliosomea Udsm ni bora kuliko wengine?
 
Watu wa mkoa bana utawajua tu
Wee unakaa Dar alafu usome chuo cha Amazon forest sijui nini huko. Alafu anakuja mtu kutoka mkoa anasoma chuo kikubwa. Loooh!

Ni sawa na mzawa wa Dar anaishi Tandale alafu waMkoa aje na kuishi Masaki. Hii ni aibu
 
Wee unakaa Dar alafu usome chuo cha Amazon forest sijui nini huko. Alafu anakuja mtu kutoka mkoa anasoma chuo kikubwa. Loooh!

Ni sawa na mzawa wa Dar anaishi Tandale alafu waMkoa aje na kuishi Masaki. Hii ni aibu
Sina mana hiyo, nina mana una ulimbukeni fulani wa kimkoa mkoa bado mshamba wa huu mjii.
Tena uishukuru sana TCU kwa kukuleta Dar ungeikua unaona kwenye Kideo
 
unajua kuwa unapiga blah!! blah!! sana jamaa yangu, anyway let the udsm remain the home of sillies


Mwaka 2011 Hapo Udsm kwenye Kozi za sheria ulikuwa kama huna div 1 ya sita huchaguliwi Mkuu.

Kwa mantiki hiyo huoni kuwa ukipata div ya 7-9(zama hizo) utakuwa umefeli.
 
Njoo Udsm huku uone.

Div 2 ya 12 ni ya PCB ni sawa na Div 1 ya 7 ya HKL.

Fikiri mkuu
Una hoja za kizamani sana yani inaonesha we ni typical mtu wa kuja...huyo wa PCB ukimpa somo la kiswahili nae anataga!
Kila mtu anajua anachokijua kujua biology sana haikufanyi wewe kua expert wa kila somo..zaidi utakua expert kwny fani yako ya biology ila ukienda kwenye somo la kiswahili utakua kilaza tu. Iyo ni common sense.
 
Back
Top Bottom