Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

unajua vijana wamebaki kubishana kushindanisha vyuo tu wakat wengi wao wapo kitaa bando wakitumwa na mzee chenji ikibaki wanunua vocha, ndo mana nimewambia watumie maarifa waliyoyapata.
Ni kweli Mkuu, japokuwa hiyo ni mada nyingine yenye uwanja mpana.
 
Hujawahi kufikiri kwani hata kufikiri unajua wewe?

Ulichoandika hapo juu ni logical non sequitur.

Unaelewa ni nini hiyo?




Sijui ulichoandika hapo.
Unadhani nipo kwenye usaili hapa? .

Huruma ikuangukie tuu.
 
Hyo division two 13 ya nchi gani.Achen ulimbukeni wa kishamba, et UDSM vipanga so what?Ujinga huu ndo unatufanya tuendelee kua maboya .Yaani majitu yanalingia jina la chuo badala ya kudemonstrate competently in actual life.This is purely childish argument
Kila umri ni utoto Mkuu. Philosophical point of view.
 
Nakumbuka mwaka 2006 ,nimehitimu six nikawa nimeenda kumtembelea ndugu yangu na kadivision kangu ya point 4 ,duuu kufika mliman kupiga misele nakutana na wadada wamevaa vibaya maungo yao yanaonekana.Nikamwambia broo niliyekuwa nae tunapiga misele nikamwambia hiki chuo siombi na sikitaki kabisaaa ,kisa tu yale mavazi ya wale wadada.....Huyooo nikaenda Sua....

Siku ukibahatika kwenda Ulaya au US wakati wa summer sijui utafanyaje utashinda unajifungia ndani. Nguo za wengine zinaku athiri vipi?
 
Mbona unaongea kama division 1 ziko UDSM pekee. Wengi wenu mnategemea kuajiriwa, na waajiri wameshajua hizo lugha zenu ndio maana wanawaacha kwenye ajira, maana wanawajua badala ya kupiga kazi unashinda unawaambia wenzio nimesoma UDSM. Msiwaponze wahitimu wengine.
 


Majibu huweza kuwa dhahiri au yasiwe dhahiri.

Huwezi elewa kwa ubongo wa nyama ikiwa unapenda majibu ya kuchagua.

Kichwa cha mada yangu kingetosha kufunua kichwa chako. Lakini kwa vile unakichwa mgando umekurupuka tuu. Unataka nikujibu maswali yako yakipuuzi ambayo ukisoma tuu kichwa cha mada ungepata majibu
Umekwepa maswali madogo tu, umefanya logical non sequitur,
 
Back
Top Bottom