Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Mtu smart, rais, atashindwaje kujibu swali la kwa nini nchi yako masikini?Unajua nini maana ya Siasa Mkuu?
Watu uliowataja hamulingani kwa lolote labda tu kwa kuvuta pumzi na kwenda chooni.
Kikwete na JPM si kama unavyowachukulia. Ni watu Smart kuliko unavyoona. Ni kwa vile unaleta hisia katika suala la siasa.
Siasa ni mchezo wa kupanga matukio ili yalete maana kwa wananchi.
Mtu smart, rais, atajiaibishaje kwa kusema mawaziri wake aliowateua yeye mwenyewe ni wapumbavu

