Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Hili nalo neno mkuu mwenyew nipo mkoa, joto ni kubeaawa mno la kuja mjin dat y maomb ya udsm yalikuwa meng kitu kingin ni mentality iliojengeka akilin wma watu kuhus icho chuo, mfan mi nimekosa udsm coz ambayo ilikuwa inahitaj watu 45 tu sasa niach kwingin kisa ud wakat nina Two na kuna walioenda ud wana Two pia ko hao wanainizid vp uwezo? Af pia kuna koz hamna apao ko watu watake hapo tu.
Kama umefeli usilaumu ikiwa hukuchaguliwa Udsm.

Hiyo sentensi mbona inaeleweka.
Hapo kuna mambo kadhaa;
1. Aliyefeli akachagua Udsm
2. Ambaye hakuchaguliwa Udsm
3. Ambaye analaumu kutokuchaguliwa Udsm kwa kufeli kwake.

Wewe upo kundi lipi hapo?
Ikiwa hukuchagua Udsm mbona mada haijakulenga wewe.
 
Kupata divisheni one sio jambo kubwa Mkuu?

Unaposema Udsm unazungumzia chuo kikuu cha taifa. Kama unavyosema Oxford huko uingereza.

Kama unafikiri vyema unaweza kunielewa
Mkuu nakuomba usilinganishe UDSM na Oxford,Oxford ile ni habari nyingine kile chuo kinashika no.1 duniani katika vyuo best huwezi kulinganisha na UDSM inayoshika nafasi ya 4000 duniani ni sawasawa na wewe kujilinganisha na Manji au Baresa
 
Mkuu nakuomba usilinganishe UDSM na Oxford,Oxford ile ni habari nyingine kile chuo kinashika no.1 duniani katika vyuo best huwezi kulinganisha na UDSM inayoshika nafasi ya 4000 duniani ni sawasawa na wewe kujilinganisha na Manji au Baresa
Ukisoma fikirisha ubongo mkuu.

Unafikiri kwa nini nimekilinganisha Udsm na Oxford? Hilo ndilo la kujiuliza
 
Ukisoma fikirisha ubongo mkuu.

Unafikiri kwa nini nimekilinganisha Udsm na Oxford? Hilo ndilo la kujiuliza
Nakuomba usikilinganishe kwa namna yoyote na Oxford wewe kilinganishe vyuo vyetu vya ndani tu kina polytechnic ou mweka na sio kina Oxford mzee,Oxford ni namba zingine zile
 
Divisheni one zipo lakini ni chache sana.

Mtu aliepata one huchagua vyuo vingine ikiwa Udsm hakuna Kozi anayoitaka kusomea.

Pia bandiko langu limebeba ujumbe wa kuwa kama umefeli usihangaike kulaumu kwa nini hukuchaguliwa Udsm.

Mbona hata Rais wako hilo analijua na kuliheshimu
hivi kumbe ambaye hajapata div 1 hata kama kapata div 11 au 111 au hata 1V tayari kafeli? kwa hiyo kuitwa kafaulu ni lazima apate div 1 ?
 
Sijajua kwanini wanafunzi na wahitimu wa Udsm wengi hujiona wako bora sana zaidi ya wengine, Ni bora asimame mhitimu wa SUA ajisifi ( kama kuna ulazima) kwani wana mchango wa moja kwa moja kwenye jamii yetu, sio unasomea sheria uchwara ya udsm unakuja kuleta ujinga wako huku, hamna lolote la maana nyie.
 
Nakuomba usikilinganishe kwa namna yoyote na Oxford wewe kilinganishe vyuo vyetu vya ndani tu kina polytechnic ou mweka na sio kina Oxford mzee,Oxford ni namba zingine zile


Sawa mkuu. Umenitisha uliposema namba zingine
 
hivi kumbe ambaye hajapata div 1 hata kama kapata div 11 au 111 au hata 1V tayari kafeli? kwa hiyo kuitwa kafaulu ni lazima apate div 1 ? ama kweli uDsm the home of Vilaza.
Unaweza ukawa umepata div 1 na bado ukawa umefeli Mkuu.
 
Back
Top Bottom