Km huna option unaweza soma UKIWA NA MALEZI NA AKILI ZAKO KM LISSU na WENGINE WAKSOMA WAKIWA HAWAJAANDALIWA WAKATOKA KM ZITTO. Utaona product inakuwa nini.Zitto hakuwa na maadili imara na kujitambua.Ikawa rahisi kuchukua elimu ya kweli ya udsm na malaise zake. Sasa ndio hizi karate za kijamaa anacheza.Ni wa ligi ya nyumbani km akina chuji, boban na wengine. Wote hawa kelele zao ni bongo tuu ktk mfumo wa kutunza wajinga na kupe, ktk mfumo unaotunza watu wanaohamisha magoli ktk ushindani wa hoja na sio kuzuia magoli. Wote hawa ukiwaweka na kijana wa form 4 Kenya ktk jukwaa huru lisilo na wahuni wa ccm wanaoweza ingia kwa kushangilia hadi kuvuruga hoja, pasipo na wauliza maswali wenye wkili za kiwendawazimu km akina sam mahela.KItakachofuata utasikia watuw alimkosea adabu msomi wetu, watu walipendelea, watu waikuwa na chuki. Ni watu ocal km chuo chao local.