Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Habari Wakubwa.

Leo nikiwa katika biashara yangu walikuja vijana wawili. Vijana hao walionekana kukwaruzana kila mmoja akijaribu kumshinda mwenzake kukitukana chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Nikiwa kama Mhitimu kutoka chuo hicho. Nilivuta masikio yangu zaidi na umakini wote kutaka kujua nini sababu ya mvutano ule mkubwa.

Kwa nasibu vijana wale walikuja kwenye biashara yangu wakiwa bado wanararuana vikali kama wapo katika finali ya kombe la dunia.

Sauti yangu ya kuwakaribisha ndio iliweka nukta katika mabishano yao na kuwafanya wameze mafumba kadhaa ya mate jasho shingoni likiteremka kutokana na jua la Dar.

Niliwahudumia. Kisha nikawauliza kuhusu walichokuwa wakikitukana.

Ndio wakanipa filamu zima jinsi walivyo-apply Udsm na kutemwa kama kohozi. Walienda mbali zaidi nakusema kwa maksi walizopata walikuwa na haki za moja kwa moja za kuchaguliwa Udsm. Hapo ikabidi niulize ufaulu wao. Ndipo mmoja kwa kujitutumua akafungua mdomo wake na kusema ana divisheni two ya 11 mwenzake akadakia ana ya 10.

Nikawapa pole tuu na kuwaambia walifaulu tuu vizuri hivyo wa-appy vyuo vingine.

Mytake; jamani ninyi watoto mlioshuleni someni kama mnataka mambo makubwa. Sio unamaliza shule na kadivisheni two kako alafu unataka uchaguliwe chuo kikubwa cha vipanga.

Hakuna aliyekutuma ufeli. Kama unataka kusoma Udsm sharti upige msuli upate angalau kadivisheni one.

Kila mtu apambane na hali yake.

Udsm hoyeeeeee!
Utakuwa mtu wa kwanza kulibeba gari ukiwa ndani ya gari. Km ulisoma pale unategemea utakuwa na uwezo wa kuona mapungufu yake kirahisi hivyo?Akina Lissu walisoma pale wakiwa tayari wana principles zao ambazo zilikuwa zikiwa guide wasichukue malaise za pale. Pale panawafaa akina bushiru, mkandala, mkumbo,bana ,muhongo and the sort. Wao wana connection na media, wana palatform ya kudanganya watu na kukipaka marashi chuo, serikali nayo inajituma kuwasukumiza UDSM kwenda kuchafua vyuo vingine kwa kile kinachoitwa kushare uzoefu wao. Vyuo vingi sana vilivyokuwa vikitoa watendaji kazi wazuri km Mzumbe,ushirika, IFM, DIT. Sasa hivi wanapewa degree za kikanjanja km udsm.
 
Kuna quote moja ya Bill Gate aliisema kila nikiona watu wanajivunia vyuo walivyosoma au namba ya degree walizonazo nawaona wa ajabu sana hebu soma kwa makini hiii quote

“I failed in some subjects in exam, but my friend passed in all. Now he is an engineer in Microsoft and I am the owner of Microsoft.” -Bill Gate

Hii quote inamaana kubwa sana katika maisha
 
Habari Wakubwa.

Leo nikiwa katika biashara yangu walikuja vijana wawili. Vijana hao walionekana kukwaruzana kila mmoja akijaribu kumshinda mwenzake kukitukana chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Nikiwa kama Mhitimu kutoka chuo hicho. Nilivuta masikio yangu zaidi na umakini wote kutaka kujua nini sababu ya mvutano ule mkubwa.

Kwa nasibu vijana wale walikuja kwenye biashara yangu wakiwa bado wanararuana vikali kama wapo katika finali ya kombe la dunia.

Sauti yangu ya kuwakaribisha ndio iliweka nukta katika mabishano yao na kuwafanya wameze mafumba kadhaa ya mate jasho shingoni likiteremka kutokana na jua la Dar.

Niliwahudumia. Kisha nikawauliza kuhusu walichokuwa wakikitukana.

Ndio wakanipa filamu zima jinsi walivyo-apply Udsm na kutemwa kama kohozi. Walienda mbali zaidi nakusema kwa maksi walizopata walikuwa na haki za moja kwa moja za kuchaguliwa Udsm. Hapo ikabidi niulize ufaulu wao. Ndipo mmoja kwa kujitutumua akafungua mdomo wake na kusema ana divisheni two ya 11 mwenzake akadakia ana ya 10.

Nikawapa pole tuu na kuwaambia walifaulu tuu vizuri hivyo wa-appy vyuo vingine.

Mytake; jamani ninyi watoto mlioshuleni someni kama mnataka mambo makubwa. Sio unamaliza shule na kadivisheni two kako alafu unataka uchaguliwe chuo kikubwa cha vipanga.

Hakuna aliyekutuma ufeli. Kama unataka kusoma Udsm sharti upige msuli upate angalau kadivisheni one.

Kila mtu apambane na hali yake.

Udsm hoyeeeeee!
Hivi kumbe hadi leowatu bado wanapigana kwenda UDSM!! Kweli tunatofautiana plan za kusoma nje ya nchi
 
Hivi kumbe hadi leowatu bado wanapigana kwenda UDSM!! Kweli tunatofautiana plan za kusoma nje ya nchi
Mika yote UDSM huwa wanajisifu na kujilinagnisha na dunia. Akina kitila mkumbo ndio think tank. Walionfundisha mwambile kuwa ukitaka kitu ni ukililie na sio uonyeshe nidhani na weledi. Miaka yote UDSM wasipofikia viwango vya ajira kimataifa walisingizia ni ubaguzi, chuki na wivu. Km North Korea wanavyodaganya raia wao kuwa magharibu wanaona wivu usitawi wao ndio maana wanataka warudisha nyuma, na sio kwamba bangi zao zinaanza hatarisha amani ya dunia na nchi jirani.
 
Sio lazima usome ili uajiriwe.Unasoma ili uelimike
Na wajinga wa pale, wanaishi kwa desa na dili za kupata marks huwa wanajiita "intellectual" zaii ya nusu hawajawahi soma kitabu kimoja cha course yao na kukimaliza chote. Zaidi ya kusoma vile vitopic wanavyopewa na walimu tuu.INTELECTUAL ni neno lilipaswa kuwa absolute ,ila wajamaa km kawaida kuhamisha magoli wamefanya liwe relative. Km sheria za ccm, wenye sheria moja ya kukata wenye vyeti fake,wengine sheria inapata ganzi.
 
Sijajua kwanini wanafunzi na wahitimu wa Udsm wengi hujiona wako bora sana zaidi ya wengine, Ni bora asimame mhitimu wa SUA ajisifi ( kama kuna ulazima) kwani wana mchango wa moja kwa moja kwenye jamii yetu, sio unasomea sheria uchwara ya udsm unakuja kuleta ujinga wako huku, hamna lolote la maana nyie.
Kwa hiyo akina lisu waliosomea sheria udsm ndio hamna kitu kabisa.....mbona huufikirishi ubongo wako wakati unajua kabisa ubongo ni sehemu nzuri sana na ya kuvutia kwenye mwili wa mwanadamu.......?!
 
Nimevutiwa na bandiko lako na hasa kuhusu kuomba kudahiriwa UDSM na kukosa nafasi mwaka huu, Hii inanihusu kwa kuwa nina wangu wa karibu ambaye mkasa huu umemkumba pamoja na kuniaminisha huko nyuma kuwa lazima aingie UDSM kwa kuwa ana Division two points 13.

Tangu mwanzo nilikuwa nahisi kuwa ufaulu huo wa Division two points 10-13 niliutilia shaka na kutoamini kama chuo pekee hapa nchini kimeamua kushusha hadhi yake ya zamani na kudahiri chini ya kiwango chake cha awali. Naungana na wewe kuwapa pole hao wawili pamoja na wangu wa karibu ila wasikate tamaa wajipange kwingine.
Divisions btiw inaishia 12
 
ni kweli asilimia zaidi ya 90 udsm wanasoma watoto wa masikini
Nao ndio rahisi kuwaaminisha Lipumba ni mtaalamu mkubwa sana duniani wa uchumi, ni rahisi kuamini kuwa mkandala na vipindi vyake vya matusi, ni kichwa cha dunia ingine, ni rahisi kuwaaminisha akina Mwakyembe, mhongo,maghembe, bana kitika mkumbo and the sort ni watu vichwa sana na hazina ya taifa sijui na engineer nani ni nouma. Then vijana wanamaliza shule kwa degree za hawa jamaa wakishirikiana na waandishi km akina pasco wanaoitwa kupiga promo .Wanafunzi wanatoka na confidence kubwa ingawa wanajua kulikuwa na matukio mengi ya kutoa rushwa za ngono,pesa,ukabila, kuwa mtoto wa mtu influencial etc. Wakiwa kazini ktk office za watu wasiotoka ktk kundi la hawa wajamaa,vijana hulilia nafasi kwa nguvu zote huku wai blackmail watu kwa kusema kuwa wanabaguliwa sijui chuki.(Ujue masikini wengi wana historia ya manung`uniko sana tangu ktk familia zao na wakifika chuo cha wajamaa walalamikaji ambao huwa siku zote matatizo yao wa kumlaumu ni bepari)
 
Kwa hiyo unataka kusema kwenye vyuo vingine kama vile mzumbe, SUA, SAUT, Morogoro muslim university watu wenye division one hawapo!

Mambo mengine ni matakwa binafsi mtu anachagua aende chuo gani kwa sababu mbalimbali, mf.uchumi, ukaribu n.k

Kungekuwa na mtihani wa mwisho wa taifa vyuoni ndiyo ungeelewa naamanisha nini!!
Mfano ni Mimi 2006 nlipata one pts 13 o-level uko nikaenda Minaki nikapata 6 pts egm nikajoin IFM , kwasababu nilikuwa na malengo yangu, mwaka 2012 nikajoin masters university of Houston,

Tupunguze ujinga kwamba UDSM ndo best. Japo kuwa ni rahis kumkuta kilaza IFM, ila ni vigumu kumkuta kilaza UDSM
 
Kwa hiyo akina lisu waliosomea sheria udsm ndio hamna kitu kabisa.....mbona huufikirishi ubongo wako wakati unajua kabisa ubongo ni sehemu nzuri sana na ya kuvutia kwenye mwili wa mwanadamu.......?!
Lissu alikuwa tayari yupo well tamed tagu nyumbani na alikuwa free thinker ndio maana hakuweza vumilia mediocre on the way.Kwa hiyo alikwenda extra mile akiwa UDSM. Na aliweza trim ujinga na uchafuwa ujamaa. NI persornal effort na hivyo sio good example. Wapo wanafunzi kadhaa wa aia hiyo ambao hata walimu wa UDSM hawakuwakubali sana kwa vile waliwaona km hawana taaluma yao(Package yao ujinga).Ndio maana hata walipofika Bungeni akina Mwakyembe,Werema na wengine hawakuwa wamejiandaa kukutana na Lissu mkubwa km mlima.Waliamini kwa vile walimnyima marks kadhaa kwa vile hakumeza ujinga wao.Basi atakuwa mjinga kuliko wao. Kumbe an akili kuliko wao.
 
Tupunguze ujinga kwamba UDSM ndo best. Japo kuwa ni rahis kumkuta kilaza IFM, ila ni vigumu kumkuta kilaza UDSM
Huu mstari ni uongo.IFM ya leo ina shida kwa vile sasa hivi inachukua wanafunzi wengi sana, na pia kuw amjini kumesababisha sana wanafunzi wageni wa mji kujikuta wana mengi ya kujifunza nje ya shule kuliko shuleni.ILa haikupi urahisi wa kujisemea tuu maneno km haya hapa. IFM ,MZUMBE ,DIT ni vyuo vilikuwa vina fundisha vizuri sana watu kwa kiasi cha kufanya graduate wao kuweza ingia kazini na kuanza kazi mapema kuliko wengi tuu wa UDSM. Umefanya tafiti gani kujua kuwa DSM sio rahisi kukuta kilaza wakati zilaza hadi maprof wamejaaa tele? Kuifanya UDSM kuwa standard ni makosa ya kishetani , yaliyowaharibu fikra hata nyie.Makosa ya UDSM yamefikia mhali akuonekana km ndio sahihi,na mwenye mashaka ndio anaonekana ni yeye ndie hajui ila sio shida ya UDSM.Sumu hii imeshaanza jaa nchi nzima kwa kile wanachokiita kushare uzoefu. UDSM inamwaga vilaza kila vyuo ambao wanakwenda haribu hivyo vyuo wakidhani wana vi improve. Na IFM ni mhanga km wengine.
 
Habari Wakubwa.

Leo nikiwa katika biashara yangu walikuja vijana wawili. Vijana hao walionekana kukwaruzana kila mmoja akijaribu kumshinda mwenzake kukitukana chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Nikiwa kama Mhitimu kutoka chuo hicho. Nilivuta masikio yangu zaidi na umakini wote kutaka kujua nini sababu ya mvutano ule mkubwa.

Kwa nasibu vijana wale walikuja kwenye biashara yangu wakiwa bado wanararuana vikali kama wapo katika finali ya kombe la dunia.

Sauti yangu ya kuwakaribisha ndio iliweka nukta katika mabishano yao na kuwafanya wameze mafumba kadhaa ya mate jasho shingoni likiteremka kutokana na jua la Dar.

Niliwahudumia. Kisha nikawauliza kuhusu walichokuwa wakikitukana.

Ndio wakanipa filamu zima jinsi walivyo-apply Udsm na kutemwa kama kohozi. Walienda mbali zaidi nakusema kwa maksi walizopata walikuwa na haki za moja kwa moja za kuchaguliwa Udsm. Hapo ikabidi niulize ufaulu wao. Ndipo mmoja kwa kujitutumua akafungua mdomo wake na kusema ana divisheni two ya 11 mwenzake akadakia ana ya 10.

Nikawapa pole tuu na kuwaambia walifaulu tuu vizuri hivyo wa-appy vyuo vingine.

Mytake; jamani ninyi watoto mlioshuleni someni kama mnataka mambo makubwa. Sio unamaliza shule na kadivisheni two kako alafu unataka uchaguliwe chuo kikubwa cha vipanga.

Hakuna aliyekutuma ufeli. Kama unataka kusoma Udsm sharti upige msuli upate angalau kadivisheni one.

Kila mtu apambane na hali yake.

Udsm hoyeeeeee!
TAARIFA!
Kuwa na divisheni 1 sio kigezo cha kuingia UDSM siku hizi. Kutokana na idadi kubwa ya wahitimu wa form 6 siku hizi hizo one zinakuwa nyingi kuliko uwezo wa chuo. kwa mfano mwaka jana walioomba UDSM Bachelor of arts with education walikuwa zaid ya elfu 15, program capacity ilikuwa 1000 lakin kati ya waombaji wote wenye one walikuwa zaidi ya elfu 7000, sasa hapo utasema hao wenye one na wakatemwa ni vilaza?
Halafu UDSM nilishindwa kuwaelewa, mimi walinitema wakawachukuwa watu wenye divishen 2 ya kuchechemea na mwingine an div 3. Na hapo walitumia kigezo gani?, kama chaguo nami niliweka la kwanza na nimefaulu vizuri kuwazidi tangu o-level.
upuuzi mtupu
 
TAARIFA!
Kuwa na divisheni 1 sio kigezo cha kuingia UDSM siku hizi. Kutokana na idadi kubwa ya wahitimu wa form 6 siku hizi hizo one zinakuwa nyingi kuliko uwezo wa chuo. kwa mfano mwaka jana walioomba UDSM Bachelor of arts with education walikuwa zaid ya elfu 15, program capacity ilikuwa 1000 lakin kati ya waombaji wote wenye one walikuwa zaidi ya elfu 7000, sasa hapo utasema hao wenye one na wakatemwa ni vilaza?
Halafu UDSM nilishindwa kuwaelewa, mimi walinitema wakawachukuwa watu wenye divishen 2 ya kuchechemea na mwingine an div 3. Na hapo walitumia kigezo gani?, kama chaguo nami niliweka la kwanza na nimefaulu vizuri kuwazidi tangu o-level.
upuuzi mtupu
Umenena vyema. Sasa hapo kama mtu aliyepata div 2 kwa hali hiyo atapata kweli kwenye kozi ya elimu hapo Udsm kwa Mantiki
 
Back
Top Bottom