Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Nimezungumzia kwa wale wanaotamani kusoma Udsm ila wana ufaulu mdogo,hivyo tu si vinginevyo.
Ww wa ulaya Udsm sio ishu kubwa kabisa kwako,
Ufaulu mzuri wenyewe katika nchi ambayo haina viwango ni kitu ambacho hakieleweki.

Kuna watu kibao hawafaulu si kwa sababu hawana akili, bali kwa sababu hawama walimu au miwani.
 
Sijawahi kupenda wala kutamani kusoma UDsm.Chuo nilichoma was nice than UDsm. By the way mwisho wa siku ni bahati ya mtu kupata ajira
Mbona unaficha jina la chuo kama bangi? Tutajie chuo hicho ili tupate pa kuanzia.
 
Nimevutiwa na bandiko lako na hasa kuhusu kuomba kudahiriwa UDSM na kukosa nafasi mwaka huu, Hii inanihusu kwa kuwa nina wangu wa karibu ambaye mkasa huu umemkumba pamoja na kuniaminisha huko nyuma kuwa lazima aingie UDSM kwa kuwa ana Division two points 13.

Tangu mwanzo nilikuwa nahisi kuwa ufaulu huo wa Division two points 10-13 niliutilia shaka na kutoamini kama chuo pekee hapa nchini kimeamua kushusha hadhi yake ya zamani na kudahiri chini ya kiwango chake cha awali. Naungana na wewe kuwapa pole hao wawili pamoja na wangu wa karibu ila wasikate tamaa wajipange kwingine.
sawa ila hakuna 2 ya 13 hata siku moja.. hiyo DIV 3
 
Na wewe unaenda Chuo kikuu au Choo Kikuu.!??

Umeandika lugha gani hapo!!???

My lord
....... Unawezaje kufaulu mtihani wewe!!
He he hawa vijana wa dotcom ni shida eti "ko" badala ya kwa hiyo. Madhara ya kupenda short cut hayo mkuu.
 
Mfano ni Mimi 2006 nlipata one pts 13 o-level uko nikaenda Minaki nikapata 6 pts egm nikajoin IFM , kwasababu nilikuwa na malengo yangu, mwaka 2012 nikajoin masters university of Houston,

Tupunguze ujinga kwamba UDSM ndo best. Japo kuwa ni rahis kumkuta kilaza IFM, ila ni vigumu kumkuta kilaza UDSM
Mkuu safi sana maana madogo wanataka kuosha UDSM Bila kwenda UDSM wanafikiri bado hajafika chuo.

Mkuu vipi pindi la FINANCE lilikuacha salama? maana linaongoza kwa supplementary hapo mjengoni.
 
Nina jamaa yangu kasomea UDSM BAED(Geo na linguistics). Sasa juzi kaja shule nnayofundisha kupigwa interview huku akiwa na mbwembwe nyingi anaitaja UDSM kila baada ya dk 5 kaenda kufanyiwa interview form 1 Geography kapewa subtopic ya climatic regions kasema equatorial region inaanzia 5-10degree N&S.
Karudishwa kwao mkuku huku akiwa anashangaa.


Hata shetani alitoka mbinguni
 
Nani atabadilisha Kitila Mkumbo, Muhongo, mkandala..wataishia kuwadanganya kuwa tafiti zao hazifanyiwi kazi.Nao wakiwa mawaziri au hata maraisi hakuna kitu kitafanyika.Ila ile kweli itazidi kujidhihiri.Hakuna tafiti ila compilation ya idea za watu wasizozijua kihivyo ,zenye misamiati yenye sura nzuri ili kuwashtua wafu w akitanzania na kupiga makofi ya kutosha kuhadithiana ktk meza ndefu kuwa nani ni kichwa ktk hawa akina muhongo,mwakyembe na wengine.
Mkuu lakini hii mbona ni karibu mataifa yote ya Afrika. Hili unalionaje Mkuu?
 
Back
Top Bottom