Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Chuki na UDSM hakuna aliyekutuma Ufeli

Watu washenz kabisa yaan mfano ni Mimi
2006 nlipata one pts 13 o-level uko nikaenda Minaki nikapata 6 pts egm nikajoin IFM , kwasababu nilikuwa na malengo yangu, mwaka 2012 nikajoin masters university of Houston,

Tupunguze ujinga kwamba UDSM ndo best. Japo kuwa ni rahis kumkuta kilaza IFM, ila ni vigumu kumkuta kilaza UDSM
Punguza hasira Mkuu. Mada inazungumzia waliochagua Udsm lakini hawakuchaguliwa kwa kigezo tuu cha ufaulu alafu wanaleta chuki zisizo na mashiko.
 
Afadhali hata tuliosoma udsm tujifariji japo hatuna ajira
Udsm sio tiketi ya kufanikiwa huku kitaa mkuu.

Angalia usije poteza pambano ukijifariji na Udsm yako[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Na wajinga wa pale, wanaishi kwa desa na dili za kupata marks huwa wanajiita "intellectual" zaii ya nusu hawajawahi soma kitabu kimoja cha course yao na kukimaliza chote. Zaidi ya kusoma vile vitopic wanavyopewa na walimu tuu.INTELECTUAL ni neno lilipaswa kuwa absolute ,ila wajamaa km kawaida kuhamisha magoli wamefanya liwe relative. Km sheria za ccm, wenye sheria moja ya kukata wenye vyeti fake,wengine sheria inapata ganzi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Ndio Elimu yetu hiyo mkuu. Ikiwa Udsm wanafanya hivyo je huko kwingine watafanyaje?

Tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye elimu
 
Mika yote UDSM huwa wanajisifu na kujilinagnisha na dunia. Akina kitila mkumbo ndio think tank. Walionfundisha mwambile kuwa ukitaka kitu ni ukililie na sio uonyeshe nidhani na weledi. Miaka yote UDSM wasipofikia viwango vya ajira kimataifa walisingizia ni ubaguzi, chuki na wivu. Km North Korea wanavyodaganya raia wao kuwa magharibu wanaona wivu usitawi wao ndio maana wanataka warudisha nyuma, na sio kwamba bangi zao zinaanza hatarisha amani ya dunia na nchi jirani.
Elimu ya Afrika bado sana Mkuu.
 
Kuna quote moja ya Bill Gate aliisema kila nikiona watu wanajivunia vyuo walivyosoma au namba ya degree walizonazo nawaona wa ajabu sana hebu soma kwa makini hiii quote

“I failed in some subjects in exam, but my friend passed in all. Now he is an engineer in Microsoft and I am the owner of Microsoft.” -Bill Gate

Hii quote inamaana kubwa sana katika maisha
Tafsiri yake huweza kuwa nyingi kulingana na mtazamo wa aisomaye.

Kulingana na Mimi, nadhani alikusudia kusema kuwa unaweza ukafeli baadhi ya mambo kwenye maisha lakini haikufanyi ukashindwa kufanikiwa katika mambo mengine yaliyo mbele yako.
 
Utakuwa mtu wa kwanza kulibeba gari ukiwa ndani ya gari. Km ulisoma pale unategemea utakuwa na uwezo wa kuona mapungufu yake kirahisi hivyo?Akina Lissu walisoma pale wakiwa tayari wana principles zao ambazo zilikuwa zikiwa guide wasichukue malaise za pale. Pale panawafaa akina bushiru, mkandala, mkumbo,bana ,muhongo and the sort. Wao wana connection na media, wana palatform ya kudanganya watu na kukipaka marashi chuo, serikali nayo inajituma kuwasukumiza UDSM kwenda kuchafua vyuo vingine kwa kile kinachoitwa kushare uzoefu wao. Vyuo vingi sana vilivyokuwa vikitoa watendaji kazi wazuri km Mzumbe,ushirika, IFM, DIT. Sasa hivi wanapewa degree za kikanjanja km udsm.
Mapungufu yapo mengi sana.
 
Huu mstari ni uongo.IFM ya leo ina shida kwa vile sasa hivi inachukua wanafunzi wengi sana, na pia kuw amjini kumesababisha sana wanafunzi wageni wa mji kujikuta wana mengi ya kujifunza nje ya shule kuliko shuleni.ILa haikupi urahisi wa kujisemea tuu maneno km haya hapa. IFM ,MZUMBE ,DIT ni vyuo vilikuwa vina fundisha vizuri sana watu kwa kiasi cha kufanya graduate wao kuweza ingia kazini na kuanza kazi mapema kuliko wengi tuu wa UDSM. Umefanya tafiti gani kujua kuwa DSM sio rahisi kukuta kilaza wakati zilaza hadi maprof wamejaaa tele? Kuifanya UDSM kuwa standard ni makosa ya kishetani , yaliyowaharibu fikra hata nyie.Makosa ya UDSM yamefikia mhali akuonekana km ndio sahihi,na mwenye mashaka ndio anaonekana ni yeye ndie hajui ila sio shida ya UDSM.Sumu hii imeshaanza jaa nchi nzima kwa kile wanachokiita kushare uzoefu. UDSM inamwaga vilaza kila vyuo ambao wanakwenda haribu hivyo vyuo wakidhani wana vi improve. Na IFM ni mhanga km wengine.
Kabisa sikatai mi mwenyewe ni mesoma ifm ila nachosema ni kwamba kwa aina ya wanafunzi wanaochukuliwa UDSM si rahisi kumkuta div 4, maana hakuna ngazi ha cheti. Ila ifm hao wapo wanasema cheti
 
UDSM ni ya 13,000 duniani kwa ranking ya kwanza Ni Harvard sasa hapo atasema UDSM best?
 
Sijawahi kupenda wala kutamani kusoma UDsm.Chuo nilichoma was nice than UDsm. By the way mwisho wa siku ni bahati ya mtu kupata ajira
 
Mahali Fulani uhakiki wa vyeti ukiendelea afisa akaita waje wengine kwa kusema"nyie wapumbavu njooni"mmoja akamjibu huyo afisa "mpumbavu mwenyewe". Wakati ana hakiki cheti cha huyo jamaa afisa akasema" kumbe wewe ni udsm nilifikiri saut"
 
Unakuta aliyeleta thread hii ndo kaona jina lake amechaguliwa UDSM ndo analeta kelele humu....
 
Kabisa sikatai mi mwenyewe ni mesoma ifm ila nachosema ni kwamba kwa aina ya wanafunzi wanaochukuliwa UDSM si rahisi kumkuta div 4, maana hakuna ngazi ha cheti. Ila ifm hao wapo wanasema cheti
UDSM wanapendelewa kuchagua cream ya waliofaulu.Ila ukiangalia kwa makini waliofaulu walipata marks kwa uwezo wao wa kiakili kweli?Je mitihani ya nchi ni kipimo cha akili?Pamoja na vyuo vingine kupata watu wa second class vinafanya vizuri na pengine ni kwavile ndio wanafunzi wenye akili za kujitegemea kwa kiasi cha kuwafanya wafeli mitihani.Kumbuka tanzania km hujui mbinu za kujibu mitihadi kwa jinsi msahishaji anataka lazima ufeli hata km maswali yalimaanisha majibu tofauti. Wanafunzi wenye akili timamu huwa wanapata shida kujibu mitihani ya kitanzania. Km maswali ya makininia ktk paper ya TRA waliofeli ni wale waliokuwa na maelezo critical.Hayo maswali yalikuwa ni filter ya kikabila,kikanda na kiitikadi za vyama.Mtu mwenye akili timamu na nje ya ccm majibu yake yangemtoa ktk ulingo.
 
UDSM wanapendelewa kuchagua cream ya waliofaulu.Ila ukiangalia kwa makini waliofaulu walipata marks kwa uwezo wao wa kiakili kweli?Je mitihani ya nchi ni kipimo cha akili?Pamoja na vyuo vingine kupata watu wa second class vinafanya vizuri na pengine ni kwavile ndio wanafunzi wenye akili za kujitegemea kwa kiasi cha kuwafanya wafeli mitihani.Kumbuka tanzania km hujui mbinu za kujibu mitihadi kwa jinsi msahishaji anataka lazima ufeli hata km maswali yalimaanisha majibu tofauti. Wanafunzi wenye akili timamu huwa wanapata shida kujibu mitihani ya kitanzania. Km maswali ya makininia ktk paper ya TRA waliofeli ni wale waliokuwa na maelezo critical.Hayo maswali yalikuwa ni filter ya kikabila,kikanda na kiitikadi za vyama.Mtu mwenye akili timamu na nje ya ccm majibu yake yangemtoa ktk ulingo.
Mkuu pongezi kwako. Unaakili sana.
 
Sijawahi kupenda wala kutamani kusoma UDsm.Chuo nilichoma was nice than UDsm. By the way mwisho wa siku ni bahati ya mtu kupata ajira
Km huna option unaweza soma UKIWA NA MALEZI NA AKILI ZAKO KM LISSU na WENGINE WAKSOMA WAKIWA HAWAJAANDALIWA WAKATOKA KM ZITTO. Utaona product inakuwa nini.Zitto hakuwa na maadili imara na kujitambua.Ikawa rahisi kuchukua elimu ya kweli ya udsm na malaise zake. Sasa ndio hizi karate za kijamaa anacheza.Ni wa ligi ya nyumbani km akina chuji, boban na wengine. Wote hawa kelele zao ni bongo tuu ktk mfumo wa kutunza wajinga na kupe, ktk mfumo unaotunza watu wanaohamisha magoli ktk ushindani wa hoja na sio kuzuia magoli. Wote hawa ukiwaweka na kijana wa form 4 Kenya ktk jukwaa huru lisilo na wahuni wa ccm wanaoweza ingia kwa kushangilia hadi kuvuruga hoja, pasipo na wauliza maswali wenye wkili za kiwendawazimu km akina sam mahela.KItakachofuata utasikia watuw alimkosea adabu msomi wetu, watu walipendelea, watu waikuwa na chuki. Ni watu ocal km chuo chao local.
 
Nina jamaa yangu kasomea UDSM BAED(Geo na linguistics). Sasa juzi kaja shule nnayofundisha kupigwa interview huku akiwa na mbwembwe nyingi anaitaja UDSM kila baada ya dk 5 kaenda kufanyiwa interview form 1 Geography kapewa subtopic ya climatic regions kasema equatorial region inaanzia 5-10degree N&S.
Karudishwa kwao mkuku huku akiwa anashangaa.
 
Back
Top Bottom