Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
hayo alelezaneni nyie wanafunzi mimi ni sawa na baba yako.Ni sawa.
Ila kama umefeli usilaumu usipochaguliwa Udsm. Mbona ni rahisi
hayo alelezaneni nyie wanafunzi mimi ni sawa na baba yako.Ni sawa.
Ila kama umefeli usilaumu usipochaguliwa Udsm. Mbona ni rahisi
Kila Mwanafunzi ???Infact kila mwanafunzi anandoto na ana taka asome UDSM
teh teh kile kinachotangazwa ITVKweli mkuu kama wanafunzi wa udsm uwezo wao wa kufikiri uko hivi bora kusoma the amazon collage



Hiyo Division II ya point 13 unayozungumzia ni ya nchi ipi?Nimevutiwa na bandiko lako na hasa kuhusu kuomba kudahiriwa UDSM na kukosa nafasi mwaka huu, Hii inanihusu kwa kuwa nina wangu wa karibu ambaye mkasa huu umemkumba pamoja na kuniaminisha huko nyuma kuwa lazima aingie UDSM kwa kuwa ana Division two points 13.
Tangu mwanzo nilikuwa nahisi kuwa ufaulu huo wa Division two points 10-13 niliutilia shaka na kutoamini kama chuo pekee hapa nchini kimeamua kushusha hadhi yake ya zamani na kudahiri chini ya kiwango chake cha awali. Naungana na wewe kuwapa pole hao wawili pamoja na wangu wa karibu ila wasikate tamaa wajipange kwingine.
Na huyu mleta mada shule yake nina mashaka nayo,atakuja na utetezi kwamba ni "typing error"Hiyo Division II ya point 13 unayozungumzia ni ya nchi ipi?
Tuanzie hapo.
Mkuu mwenyewe kasoma kwa kuungaunga tu.. afu kusema UDSM ndio kimbilio la waliofaulu vizuri ni uongo tena wa kipumbavu kabisa.. nina jamaa zangu wana Div 3 na wapo hapo pia wengine ni diploma holders na wako hapo.. Sio kila mtu anapenda kusoma UDSM wengi hawapendi tena sana tu... UDSM ni chuo cha kawaida sana katka ishu nzima ya utoaji wa wahitimu walio smart...Divisheni one zipo lakini ni chache sana.
Mtu aliepata one huchagua vyuo vingine ikiwa Udsm hakuna Kozi anayoitaka kusomea.
Pia bandiko langu limebeba ujumbe wa kuwa kama umefeli usihangaike kulaumu kwa nini hukuchaguliwa Udsm.
Mbona hata Rais wako hilo analijua na kuliheshimu
acha kufananisha Oxford na vtu vya ajabu ww...Kupata divisheni one sio jambo kubwa Mkuu?
Unaposema Udsm unazungumzia chuo kikuu cha taifa. Kama unavyosema Oxford huko uingereza.
Kama unafikiri vyema unaweza kunielewa
Hapo kwenye Divison two pts 13 ndipo alipoanzia kukudanganya mkuu! Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi basi Division two kwa form six inaishia pts 12...... kuwa lazima aingie UDSM kwa kuwa ana Division two points 13...
In most cases UDSM is over-rated! Huku kwenye system tunawaona hao wanaotoka hapo! Naona niishie hapo! Mimi nimesoma hapo miaka ya zamani enzi za kina Profesa Ndalio (ni marehemu kwa sasa), pale Chemistry Dpt. Product ya wakati huo ni tofauti kabisa na ya sasa japo jina limebaki!Infact kila mwanafunzi anandoto na ana taka asome UDSM
Be confident dude! As long as your high learning institution is a recognized institution,Div 1 waende tu udsm bt kweny soko l ajira msitutenge sisi w vyuo hvi vngne maana hamchelewagi kutukata.
nikajua labda grading imebadilika,nilipata div 1 sikuchaguliwa udsm lakin niliesoma nae combi ileile na kupata 3 alisoma kwa hela ya Babaake hapo udsm kozi tilioitamani..Na huyu mleta mada shule yake nina mashaka nayo,atakuja na utetezi kwamba ni "typing error"
Sawa Baba. Lakini ujumbe ndio huo Mkuu. Ubaba wako hautabadili ujumbe huuhayo alelezaneni nyie wanafunzi mimi ni sawa na baba yako.
Msamehe mkuuHiyo Division II ya point 13 unayozungumzia ni ya nchi ipi?
Tuanzie hapo.

Mkuu embu tulia usome vizuri. Wapi nimeandika hayoNa huyu mleta mada shule yake nina mashaka nayo,atakuja na utetezi kwamba ni "typing error"
Pole sana Mkuu. Unasema Rais kaunga unga? Naona umevurugwaMkuu mwenyewe kasoma kwa kuungaunga tu.. afu kusema UDSM ndio kimbilio la waliofaulu vizuri ni uongo tena wa kipumbavu kabisa.. nina jamaa zangu wana Div 3 na wapo hapo pia wengine ni diploma holders na wako hapo.. Sio kila mtu anapenda kusoma UDSM wengi hawapendi tena sana tu... UDSM ni chuo cha kawaida sana katka ishu nzima ya utoaji wa wahitimu walio smart...
Udsm ni Oxford ya Tz acha ubishi.acha kufananisha Oxford na vtu vya ajabu ww...
Suala la ajira ni jingine Mkuu. Hapa kinachozungumzwa ni wale waliofeli na chuki zao za udsmDiv 1 waende tu udsm bt kweny soko l ajira msitutenge sisi w vyuo hvi vngne maana hamchelewagi kutukata.
Ur very wrongInfact kila mwanafunzi anandoto na ana taka asome UDSM