macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,948
- 39,869
Ohoo sorry. Kumbe anaitwa Mabeyo? Lakini nadhani ujumbe umeupata pamoja na utaahira wangu. Alipelekwa Nairobi na walitumia uwanja wa Wilson airport. Madaktari wakajaribu lakini hawakufanikiwa, akarudishwa akiwa kwenye hali mbaya na kufia Mzena.Kweli wewe ni tahira unajiuliza na kujijibu mwenyewe.
Umekazana mabeho mabeho,
Hata mabeyo tu kuandika huwezi.
Hizo habari zako za niamini mimi peleka kwenye vijiwe vyako vya kahawa