Mayor Quimby

JF-Expert Member
Mar 13, 2021
2,751
5,832

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekunde kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka hata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je, anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue meża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
 
Atakuwa alilipenda kweli jeshi kama ni ivyo. Maana mwenyekiti wa bodi ya TANAPA ni mmoja wa watu wenye mshahara na marupurupu makubwa Tanzania.
Mwenyekiti board huwa hana mshahara....ni posho vikao wanakutana mara 4 kwa mwaka....labda uzalendo wake kukataa kupindisha katiba....kuweka jeshi historia kukataa kulinda katiba....
 
Hakuna sehemu anayojuta
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.

Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
 
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa.

Body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea ile się tabia ya army general mpaka kushindwa kujizuia mtu kama yeye ni big deal kiaskari duniani.
Yeye ni Moja ya watu wa karibu wa JPM kwaiyo malengelenge machozi lazima
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.


Ya kutambua:

1. Jenerali Mabeyo ni mzalendo kweli kweli asiyekuwa na chembe ya tamaa ya madaraka.

2. Hapo #1 watu kama hawa ni wa kupigiwa mfano.

3. Kuna watu walionekana kuwa walisahau katiba inasema je, ndiyo maana ikachukua siku mbili tatu hadi kuapishwa badala ya masaa 24 kutokea rais kufariki.

4. Kuwa rais alijua atafariki kiasi cha kumhitaji paroko, kadinali na hata kutaka kurudishwa nyumbani akafie kwao.

5. Kumbe ma Profesa wanaotushauri makulaji walikuwa pale. Ama kweli safari ya pagak ikifika (song of lawino) no way back.

6. Aliyepo anashaurika japo kuna wanao mshauri vibaya lakini baadaye wanakaa wanayaweka mambo sawa.

7. Kwamba, hapa mkuu wasemaje? Kuna hawa wamesema hivi ..:

".. kwani waliosema hivyo ni wanajeshi, raia au wanasiasa ...?"

Pamoja na kustaafu, Jenerali Mabeyo bado ni hazina kubwa kwa taifa hili.
 
Kwamba Mebeyo kumkumbuka Magufuli na kutoa chozi ghafla tayari wataalam wa kutazama mmeshapata "yote yaliyokuwa moyoni mwake" na sasa ndo mnatutangazia hayo yaliyo kuwa moyoni mwake?..

Like seriously?...

Video yake si hiyo hapo ina audio si usikilize mwenyewe? Kulikoni kusubiria kuambiwa?

Hata kama bando bei kubwa hii it's worth listening!
 
Kwamba Mebeyo kumkumbuka Magufuli na kutoa chozi ghafla tayari wataalam wa kutazama mmeshapata "yote yaliyokuwa moyoni mwake" na sasa ndo mnatutangazia hayo yaliyo kuwa moyoni mwake?..

Like seriously?...
Kwa kauli yake ‘anadhani kuna wakati washauri wake wanampa ushauri mmbaya’ (hiyo ni cue tosha), juu ya mtazamo wake wa siasa za sasa. Sema kamalizia na diplomatic language tu anashirikisha watu wengi kwenye maamuzi yake na anafanya kazi nzuri.

Tukumbuke kwa sasa general ni mstaafu na wala awezi kuwa na open opinion kuhusu siasa ata angekuwa bado CDF leo; na akuwa na upande kwenye interview yake.

Lile chozi akielezea siku za mwisho za marehemu ndio limenishangaza kuna kitu emotionally kinamsumbua na kile kifo.

Ni swali tu sijahitimisha sababu itakuwa nini ukizingatia ni ngumu sana watu wa level yake kuonyesha public emotions.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.

Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui nchi ingegawanyika mara ngapi.
 
Intelejensia ya Jeshi vs Intelejensia ya "TISS" kuna sehemu ipo shida.

Yawezekana kuna kundi liloegemea Chama Tawala (CCM)au wapenda maslahi binafsi na kuacha misingi kazi .

Mambo mengi ya msingi hayazingatiwi na utashi wa wengi (wananchi)unapotoshwa.
Mfano:
1.Katiba ya nchi ina kasoro,inajulikana,lakini yanaletwa maneno ya kisiasa kuchelewesha marekebisho.

2.Sheria ya kodi na tozo bado zina mtazamo wa kijamaa(bado kumiliki gari inaonekana ni anasa).Badala ya kupunguza kodi ili wengi waingie kwenye kundi la walipa kodi ili mapato yaongezeke!!

3.Sheria ya uchaguzi kuwa na kasoro(mfano "kipengele kinachosema "mshindi ni aliyetangazwa",hii imetumiwa vibaya na viongozi walioteuliwa kutangaza matokeo yasiyo kuwa na uhalisia,rejea uchaguzi wa mwaka 2020)
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.


Kwani mwanajeshi sio binadam?

Machozi ya mamba hayo.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.

awezi ❌ hawezi✔️, hudhuni❌ huzuni ✔️, ata❌hata✔️😳, akutoa❌ hakutoa ✔️,
 
Back
Top Bottom