Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Habarini wadau,
Nimeona watu mtandaoni wakilalamika kuwa serikali ifunge mipaka ili wakulima tukose sako, na mazao yetu yashuke bei.
Namuomba Rais asikubali na hii hoja, sababu hivi sasa wakulima tunauza mahindi kilo 500 hadi 600 huku shambani.
Huko mjini unga nasikia haujashuka bei, kama Dar kilo moja nasikia bado ni 2000, lakini hili siyo kwa sababu wakulima tunauza ghali, ni kutokana na matatizo kwenye supply chain zetu au sijui ni nini.
Kufunga mipaka kutafanya mahindi yetu turudi kuuza tena 200 au 300 kitu ambacho kitatuumiza wengi wakati gharama za maisha kila kitu kimepanda, hatutaweza kuendesha maisha kwa kilimo, tutahamia mjini.
Nimeona watu mtandaoni wakilalamika kuwa serikali ifunge mipaka ili wakulima tukose sako, na mazao yetu yashuke bei.
Namuomba Rais asikubali na hii hoja, sababu hivi sasa wakulima tunauza mahindi kilo 500 hadi 600 huku shambani.
Huko mjini unga nasikia haujashuka bei, kama Dar kilo moja nasikia bado ni 2000, lakini hili siyo kwa sababu wakulima tunauza ghali, ni kutokana na matatizo kwenye supply chain zetu au sijui ni nini.
Kufunga mipaka kutafanya mahindi yetu turudi kuuza tena 200 au 300 kitu ambacho kitatuumiza wengi wakati gharama za maisha kila kitu kimepanda, hatutaweza kuendesha maisha kwa kilimo, tutahamia mjini.