Chit Chat Praise and Worship Team

Chit Chat Praise and Worship Team

Naomba nipangiwe kwenye kwaya sauti ya 4.2 tafadhali. Nani ana dili la yunifomu?

Mimi ndio Mhazini wa Team...vipi una suggestion ya rangi ya sare kabla sijaweka order??
 
Rich woman wewe hutaki kuimba? Bujibuji anasema bado kuna nafasi!

Aah sauti ya kumuimbia Mungu ninayo kwahiyo kwenye timu nipo na naimba sauti zote mbili ya kwanza na ya pili, lakini saa hii nipo na watu8 tunashugulikia vyombo vije vitu vya kweli hapa
 
Last edited by a moderator:
Aah wapi! Kesho tukae mtandaoni tuagize pamoja. Nitoe mawazo dili ule alone? Asprin, hivi zile sare za atcl ziligharimu pesa ngapi vile?
Mimi ndio Mhazini wa Team...vipi una suggestion ya rangi ya sare kabla sijaweka order??
 
Last edited by a moderator:
Aah wapi! Kesho tukae mtandaoni tuagize pamoja. Nitoe mawazo dili ule alone? Asprin, hivi zile sare za atcl ziligharimu pesa ngapi vile?

Rudi posts zangu za mwanzoni utagundua unayezozana naye hapa ndio Mhazini....kwanza sasa nipo bize kufaulisha vyombo vya mziki toka bandarini!!!
 
Last edited by a moderator:
Shindwaaaaaa tena shindwa kwa jina lako na la mmeo Slave.....

he he he nawajua nyie!!!
ooh mpiga kinanda anatembea ma mke wa mpiga gitaa, mara kwaya master kafumwa akitoka chumbani kwa nani.....
he he we unapiga nini eti shoga au unaimba tu!!!!
 
he he he nawajua nyie!!!
ooh mpiga kinanda anatembea ma mke wa mpiga gitaa, mara kwaya master kafumwa akitoka chumbani kwa nani.....
he he we unapiga nini eti shoga au unaimba tu!!!!

Me naimba tu na pia ni makamu mwenyekiti wa kwaya.... Karibu saaanaaaa!!!!
 
Mmmh!!! mabwaku

he he he nawajua nyie!!!
ooh mpiga kinanda anatembea ma mke wa mpiga gitaa, mara kwaya master kafumwa akitoka chumbani kwa nani.....
he he we unapiga nini eti shoga au unaimba tu!!!!
 
Back
Top Bottom