Chit Chat Praise and Worship Team

Chit Chat Praise and Worship Team

mi naomba nikusindikize niwe mtunza hazina msaidizi..vifaa vyenyewe nasikia mpaka tukwee pipa

ooh karibu mpendwa katika Bwana...wala usijali tutaenda wote kununua vifaa vyote, ngoja tu kila mtu achukue pozisheni yake.
 
Naona Baba V hayupo, watu mnajiamulia tu mambo. Kuna kamati ya maombi inayoshughulikia maswala yote ya swala na sala, maombi na maombezi! Wasiliana na pombekali

Hivi Baba V amepelekwa keko mpaka lini?
Dr.zero inabidi aje hapa atueleze rafiki yake anatoka lini manake watu washaanza kumrithi mpaka Mama v
 
Last edited by a moderator:
Sasa hilo kanisa litakuwa linahubiri nini jamani kama waumini wenyewe ndiyo hao??

Mie naomba mnipe nafasi nitawaeleza mipango yangu ya ukombozi wa hawa wajukuu zangu kwa mwaka 2013!!


Babu DC!!

tena babu usije ukashangaa maajabu ya hii kanisa......................... mi ntakuwa mlangoni nauza kinga hapo
 
Naomba nipangiwe kwenye kwaya sauti ya 4.2 tafadhali. Nani ana dili la yunifomu?
 
Hili cio kanisa!kama waumini ndo hawa wanaojitapa kwa mbwebwe ivi!
 
Nimependa kuwa mmoja wa waumini watakatifu. Nipangieni nafasi nyie wenyewe!
 
Back
Top Bottom