Yaani nyie kama hamjaniweka mimi katika upande wa leader na muongozaji vocal nitawashangaa kwani mm ni mtaalamu wa praise na naimba sauti zote za dunia hii tafadhali msinisahau muulizeni Ruttashobolwa yeye ananijua vika, hivi kwanini Bujibuji tusiwe na MASS CHOIR ya waimbaji wote wa chitchat jf team? hebu fanya hivyo mpendwa
Arushaone karibu ndofu hapa city park
Kwenye thread ya upako unaongelea ndyofu? Rudi kundini nami nitakufanya mvuvi wa watu
Mimi ntakuwa naimba sauti ya kwanza Banzisha basi tukutane wapi wote wana chitchat mass choir ili tuanze ligwaride la kujifua vocal zetu na mazoezi ya viungo na kila ajiandae kwa nguo za kimazoezi hivi unajua kuwa Nicas Mtei yeye ni mpigaji wa vyombo? Bujibuji
Na kenge wamo tena wamepaka shedo.tutakutana mbinu saa hiyo mi nachochea moto nikikuona naongeza kuni.Kundini ndimo nilimo na ndovu zangu.
Kwenye msafara wa Mamba na kenge wamo.
kaka Erickb52 mbona unaniangusha hivyo tena umeanza lini kunywa pombe au ile homa yako bado haijapona? pale Daktari alivyokuambia kuwa ukinywa castle inapunguza homa nawe ndo umeendekeza mpaka wakati huu, nimejisikia vibaya na umeiondoa furaha yangu kaka yaani mm sijapenda kabisa acha kutumia hiyo pombe Mungu anachukizwa na walevi best