Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,702
- 86,659
Kuna mambo yanachekesha sana sometimes, unatengeneza tatizo, unawaacha wanahangaika nalo at the same time unatafuta praise team ili ku-justify kuwa tatizo ulilotengeneza sio tatizo. Unakaa kimyaa baada ya muda unaondoa tatizo unashangiliwa tena na praise team ambayo ni empty headed with zero reasoning capacity. Hili ndio linaloenda kutokea very soon.
Note:
Na kwakuwa hawawezi kuwa accountable kwa matendo ya Serikali yao, mzigo wote atadondoshewa Yohana the late.
Stay tuned
Note:
Na kwakuwa hawawezi kuwa accountable kwa matendo ya Serikali yao, mzigo wote atadondoshewa Yohana the late.
Stay tuned