Hivi hawa Alibaba ni uhakika maana baadhi wanasema haya makampuni ya mitandaani yamekuwa yakileta bidhaa tofauti na wanayokuwa wameitangaza. Hili likojeAgiza from alibaba wanauza in bulk
Wakala ndo Kama wapi hao?Fanya hivi...kusanya product zako uchambue vizuri. ..hua hawezi leta tofauti labda km ww ulikosea kubook..
Other option nikutumia mawakala waliopo bongo. ...unaagiza through alibaba then unamtumia wakala akuletee mzigo
Mm nimeagiza from alibaba. ..niliagiza begi lamgongoni na saa vizuri sn ndani ya wk 2 mzigo umefika mpk nilipo. ..nililipia kupitia virtual card za mitandao ya simuAgiza from alibaba wanauza in bulk
Mbona kariakoo vimejaa. Vifaa vya simu na simu ni k.koonashindwa kukuelekeza vema mtaa. Ila makutano ya uhuru na msimbazi, shila njia ya kwenda msimbazi barabara ya kwanza kupandisha kushoto, huo mtaa upande wote wa kulia ni vifaa vya simu na spea bei ya jumla. Onyo nenda dukani direct usiongee na vishoka nje.Habari wenyeji na wataalam wa biashara.
— Naomba kujua kama kuna mtu mzoefu na anaye jua chimbo zuri la simu na vifaa vya umeme kwa bei ya jumla
Nipe muongozo wa wire 1.5,2.5&4 hata 6"Habari Mimi ni mmoja ya wafanyakazi ya kampuni bora nchini ambayo ni wauzaji wa vifaa vya umeme na Urembo wa majumbani kwa bei ya jumla. Jina la kampuni yetu ni (VELLMAX) Kwa mawasiliano na uaminifu zaidi unaweza kunitafuta kwenye namba hizo hapo chini na nikupe maelekezo jinsi ya kufika kwenye stores zetu.
0684476061(WhatsApp/call)