Habari Wana JF
Naomba msaada wa mawasiliano au connection sehemu wanapouza nywele za rasta kwa bei ya jumla.Kuna baadhi ya nywele hizo za kusukia za rasta kama kampuni ya darling , prima na zingine ambazo ni nzuri.
So naomba nielekezwe sehemu gani kariakoo au anywhere else ambapo naweza nikapata kwa bei ya jumla.Maana na Mimi pia nahitaji kuja kuuza kwa bei ya jumla huku nilipo.
Maana najua hapa Kuna wafanyabiashara wakubwa,wenywe viwanda au wafanyakazi wanaofanyakazi sehemu kama hizo na wengine pia wazoefu ambao wanaweza nisaidia. Mimi ni mgeni kwenye biashara hizo,so chimbo sizifahamu vizuri .
Natanguliza shukran sana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Naomba msaada wa mawasiliano au connection sehemu wanapouza nywele za rasta kwa bei ya jumla.Kuna baadhi ya nywele hizo za kusukia za rasta kama kampuni ya darling , prima na zingine ambazo ni nzuri.
So naomba nielekezwe sehemu gani kariakoo au anywhere else ambapo naweza nikapata kwa bei ya jumla.Maana na Mimi pia nahitaji kuja kuuza kwa bei ya jumla huku nilipo.
Maana najua hapa Kuna wafanyabiashara wakubwa,wenywe viwanda au wafanyakazi wanaofanyakazi sehemu kama hizo na wengine pia wazoefu ambao wanaweza nisaidia. Mimi ni mgeni kwenye biashara hizo,so chimbo sizifahamu vizuri .
Natanguliza shukran sana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app