Nami nasubir waje nijue chimboWazee mambo vip? Naomba mwenye kujua maeneo ambayo dar wanauza viswaswadu ( simu ndogo) kwa bei ya jumla. Natanguliza shukrani
Zipo nokia 105 na 110 kwa 20k full boxWazee mambo vip? Naomba mwenye kujua maeneo ambayo dar wanauza viswaswadu ( simu ndogo) kwa bei ya jumla. Natanguliza shukrani
Kama uko na uhitaji njoo kariakoo uhuru plazaWazee mambo vip? Naomba mwenye kujua maeneo ambayo dar wanauza viswaswadu (simu ndogo) kwa bei ya jumla. Natanguliza shukrani