Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma! Willie @ NYC, USA.
Kwa kumbukumbu zilizopo ni kuwa Chenge siyo mjumbe wa CC ya CCM tangu wakati ule Sekretariat ilipojiuzulu. Sasa unaposema kaachia ngazi ndani ya CC una maana kajiuzulu kutoka CC (ambayo si kweli) au kaitwa na CC na kujiuzulu nafasi yake ya ujumbe wa NEC, ubunge, uanachama wa CCM mbele yao???