Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,096
- 1,906
To be fair,this deserves a ban.
Uongozi wa JF to be fair to all the members napendekeza W.J.Malecela apewe ban kama wanavyopewa members wengine wanapodanganya.
Badala yake naona MODS wanazidi kumfichia aibu kwa kubadilishabadilisha headings, kwanza mwenyewe aliandika
1. Chenge ajivua gamba leo CC; Mods wakabadilisha
2. Tetesi: Chenge ajivua gamba leo CC; Mods wakabadilisha tena
3. Chenge kujivua gamba leo?; Mods wakabadilisha tena
4. Tetesi: Chenge kujivua gamba leo?
Tatizo lililopo ni kuwa headings zote zinazoletwa haziendani na content ya thread yenyewe ambayo ni a declarative statement "Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC " In short kadanganya please Mods do a needful.
umejuwaje kama ni Mods wanaobadilisha hizo headings?!
Mod ndiye mwenye uwezo wa kubadili headings!!
- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
So far, hakuna kuachia ngazi wala terraces ....sijui what is this lakini majungu na hisia ndizo zilizoiua CCM- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
Kaka mimi binafsi bado sijaona ufisadi wa huyu mzee wetu malecella, nafikiri ni kati ya wana CCM waaminifu sana wa karne hii. Na sijajua hadi leo ni kipi hasa walitofautiana na baba wa taifa - huyu mzee ana misimamo na ni mtetezi wa watu ingawa jimbo lake la Mtera na mkoa wake wa dodoma umebakia nyuma sana kimaendeleo, lakini hii si sababu ya kumwondolea ushupavu katika uongozi wake.
Sitaki kusema ukiwa kiongozi basi fanya ushawishi ili upeleke maendeleo kwenu, no. ila alikuwa na nafasi kuwaendeleza watu wake - ki fikra ili waweze kujitegemea, ki elimu na ki afya. Mtera ni kati ya majimbo yaliyosahaulika ki maendeleo
Nafikiri Willie @NYC atakubaliana na mimi kwamba ndugu zao huko mtera wako hoi bin taabani.
<br /><font size="3"><br />
FMES ndio yeye mwenyewe kwahiyo endelea naye hapa hapa Mkuu</font>
Na ule mgao wa Rada atarudisha kwa Watanzania?
<br />Naona hiyo haisaidii chama chote cha magamba kiachie ngazi wanawaonea tu na si vinginevyo makima hao.