Kwa mawazo yangu Rostam na Chenge ni wepesi kutimuliwa ndani ya CCM kulinganisha na Edward. Nafikiri Edward anawaumiza kichwa sana na haitakuwa kazi nyepesi kumtimua unless wamuombe aondoke bila kukijeruhi chama.
Kwa CHENGE ukilinganisha na tuhuma zake za rada na nyinginezo anakuwa mwepesi sana kutimuliwa - kwa hili sina shaka jamaa anaweza kuwa kamalizwa.
Kwa CHENGE ukilinganisha na tuhuma zake za rada na nyinginezo anakuwa mwepesi sana kutimuliwa - kwa hili sina shaka jamaa anaweza kuwa kamalizwa.