curie
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 664
- 1,489
pole sana ucl ni kombe la wanaume sio watoto unexperiencedKwa tunaoangalia mpira live ,sio watu wa live score ...
Chelsea haina kitu ,inabahatisha tu ,niamini Mimi ...
League huwezi chukua kizembe namna hio ,wanaume tu ndio wanachukua league ...