Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimemiss yale magoli ya mwanzo ya Timo Werner, Yalileta matumaini ambayo baadaye yalipotea kabisa na kugeuka kuwa master of assists
 
PSG ndio wamefanya usajili wa maan msimu huu tena kwa buree
  1. Wijnaldum = kasajiliwa bure
  2. Donnarumma = kasajiliwa bure
  3. Leo Messi= kasajiliwa bure
  4. Sergio Ramos= kasajiliwa bure
  5. Achraf Hakimi = €60 million
Mishahara yao sio ya kitoto,
 
Mishahara yao sio ya kitoto,
Watakachokileta ni kubwa kuliko hiyo mishahara, majina makubwa wanaipaiza profile ya timu hata kwenye matangazo na uuzaji wa jezi na sanaa zingine za klabu. Mesi in particular ataofa vitu viwili, jina na magoli
Donnarumma tunajua ni kipa wa aina gani, nadhani kwa sasa duniani ndie kipa bora
 
Roy Keane adai Lukaku ataipatia Chelsea sio chini ya magoli 20 kwa msimu
Former United captain Roy Keane has claimed that Lukaku will score at least 20 goals a season with Thomas Tuchel's side.
 
Mashabiki wa Cheltakoo ni wachache sana wanaojielewa, ni dunia nzima sio bongo tu Inferiority Complex wazee.
 
José Mourinho alisema ili uwe bingwa una hitaji vitu vitatu katika hivo vitu vitatu bahati na kikosi bora navyo vilikuwepo so wale wanaosema The Blues Ina bahati mi nakubaliana na ninyi ila mnatakiwa mjue hamuwez kua na bahati bila ya kua na kikosi kizuri Congratulation kwa the blues timu yenye mafanikio zaidi England katika kipindi cha miaka 18 makombe zaidi ya 20 since 2003 to 2021 Proud to be Fan of this Great team 🙏 #KTBFFH
 
Goalkeeper of the season nominees??

MENDY
20210813_141250.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Na ni bwege kweli kweli
Sijui wanaishije huko, lazima watakuwa wanapata ushauri nasaha ili wasife mapema na litimu lao limebakia historia tu, Hata kununua Abraham hawawezi
Wana hamu ya kuhamia Chelsea ila wanashindwa mbinu ya kuja
 
During the penalty shootout, the pain was busy traveling around the sky, until KEPA save the last penalty, and it safely landed in Manchester.😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom