Nakukumbusha kuwa hii nifainali na haina mrudio tunaomba msije mkatafuta visingizio kumbuka Chelseafc ni mpiganaji mzoefu ktk fainal hizi hajaanza leo,hivyo hatishwi na kitu chochote wala hana chakupoteza.Tatizo ni kuwa hatuwezi kufungwa na takataka kama Chelsea mara tatu mfululizo kudadekiii...
Yaan wachezaji wote wapo na moto ...
Mtajuta kuingia uwanjan nyie madogo wa darajani ,
Man city 3- 1chelsea
Come on city
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app