hahahhaaaaaa muoka mikate ndio nani?Huyu Lampard ana Uingereza sana sasa huyu muoka mikate wa nn
Hahaa.. mkuu nimehisi anamanisha Barkley inaendana na Bakeryhahahhaaaaaa muoka mikate ndio nani?
Kuna jamaa hapo juu katoa linkHii game nawezaje kustream live? nipeni link wadau nistream live
Are you mad?..huyo tutabadilishana kwa kuwa nyie Jesse' LingardTuwape man u Abraham, watupe Greenwood
Sio tuwape Jones, maana naona huwa wanalalamika hawana beki.Are you mad?..huyo tutabadilishana kwa kuwa nyie Jesse' Lingard
Unauona mzigo wako?Barkely Mzigo, mount mzigo kiungo itakufa
Huyo takataka ana goal ngapi hadi sasa?Hilo goli amefunga Giroud ingekuwa ile takataka ingeanguka