popie
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 801
- 575
London still red.....
Ukibisha nakuja na vielelezo kutoka kwa mwamba hapo juuView attachment 1369255
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
London still red.....
Ukibisha nakuja na vielelezo kutoka kwa mwamba hapo juuView attachment 1369255
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu ila Chelsea ya sasa tunapumulia machine.Mimi ni shabiki wa liver lakini niliamini mtashinda maana hao msimu uliopita tuliwatoa kwao ujerumani kwa kuwapiga tatu
Sasa mbona mnasajiri wachezaji wa futuhi?hahahaaaaaaaaaa
Kwani sisi Chelsea tupo sawa na Liverpool mkuu?Mimi ni shabiki wa liver lakini niliamini mtashinda maana hao msimu uliopita tuliwatoa kwao ujerumani kwa kuwapiga tatu
Umeona sasa enh? Ndo nilichokuwa naongea. Huwezi tegemea history na wakati una matopolo uwanjani. Huwezi fananisha hiki kikosi na cha kina Cole, Drogba, Cech etc. Hawawezi fanya kitu kama kile wewe.Of course ban imetuathiri kiasi Fulani tusingekuwa na wachezaji hao ila kwa leo na history tulionayo naamini Bayern wataona pachungu Stamford bridge hata hao wachezaji unaowaona hawana quality Leo watapandisha viwango vyao.
Lazma acheke....maana anajua kuwa London still redNamuona Ox Chamberlain anacheeka
Kawaida ya tanga kwa sisi wabantu ni siku 3,hivyo tushakuja na magodoro yetu na shuka.Mnaondoka lini humu ili tuanue tanga Ndugu?
Unabishana na Gnabry au na mimi?Arsenal ilishawahi kuchukuwa ucl ata mara moja tangu ilivyokuwa inashiriki?
Yaani hii bange wanayotumia hawa jamaa naitafuta sana.Umshindwe kilema Mwanitesa utd alafu ukamshinde Bayern... like serious?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vitoto vya Arsenal vinafurahia kwa sababu vyenyewe vilishindwa kwetu so kufanya ivyo vinahisi vinatukasirisha. Wakati huo huo wao wanasahau walishikishwa ukuta usiku mzima.Na siku nyingine muwe na adabuView attachment 1369257View attachment 1369258
Sent using Jamii Forums mobile app
unapanga middle wote unashindwa hat kupata goli moja hakuna cha akina cotinho timu haichezi kwa kujitoa na moralHakuna mchezaj hata wa sub anayeweza badilisha matokeo
Wachezaj wote tulionao ni average player wengine wanaonekana wabovu coz ya wenzao
Halaf ukiangalia ubora wa chelsea hii na bayern hii ni mkubwa sana hatuna wachezaj wakupambana na bayern kwa sasa sion shida yyt ya kocha kwa hii game bayern wako vizur kuanzia first eleven yao mpaka sub zao
Wewe sub yako una pedro,emerson,gilmour
Wenzako wana coutinho,goretzka,hernandez,toliso hao wote ni wachezaj wanaoweza kupa matokeo mda wowote
Kumlalamikia lampard kwa mechi ya leo ni sawa na kuamin kuwa leo tulikuwa tunashinda kwa lazima wakat nikitu cha uongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
naona vitoto vya chelsea vimeshikishwa ukuta usiku nusu naona,hahahaaaaa tena bila hata kukukuruka yaani inaonesha dhahiri vilivyokuwa vizoefu wa hiyo michezo,yaani vimetulia tu wanaume wanaweka.....Hivyo vitoto vya Arsenal vinafurahia kwa sababu vyenyewe vilishindwa kwetu so kufanya ivyo vinahisi vinatukasirisha. Wakati huo huo wao wanasahau walishikishwa ukuta usiku mzima.
London is always blue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wa kufikir unaingiaje hapo sasa.....Timu nyingine si zilisajir dirisha dogo... Au ndo njia ya kupotezea swali.... Narudia Hadi January mlifungiwa kusajiri?
Unafikr ukiwa uefa ndo unakuwa mzima
Misimu haijawahi fanana lakiniMimi ni shabiki wa liver lakini niliamini mtashinda maana hao msimu uliopita tuliwatoa kwao ujerumani kwa kuwapiga tatu