Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na siku nyingine muwe na adabu
Screenshot_20200226-060637.jpeg
Screenshot_20200226-060706.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
T
Saiz ya timu ya team yako ni futuhi. Sijui unalalamika nini hapa.
Inaboa sana timu dhaifu kwenda kusindikiza champions league kijinga jinga kama hivi ya nini kugombania champions league wakati unakutana na wanaume wanakupa mambo unatulia kama mtungi?itabidi itungwe sera mpya timu ambayo itadhalilisha champions league kama chelsea inyimwe nafasi ya kushiriki Msimu unaofuata ni aibu aibu aibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sioni hata wale wa kumsifia mount kuwa ni mchezaji nzuri daah

Naona mashabiki wengi wa soko siku za hivi karibu hasa sisi wapenzi wa soko la EPL tunatumia sana timu kama Aston Vila -Watford -Norwich -ndiyo kinakuwa kipimo chetu kwa wachezaji wetu wakati sio kipimo sahihi


London is red
 
Poleni sana wana Chelsea wenzangu. Sidhani kama kuna mwana Chelsea aliyeumia kwa sababu tusingetegemea makuu au makubwa kutoka kwa akina Giroud na Tammy, Willian, Barkley au kwa mabeki kama akina Christensen na GK wetu Cabalero (38)
Kama jana tungeshinda tungeshangalia kwa kubahatisha
Pia tusitegemee makubwa sana kule Allianz Arena kwa sababu ODDS zinaonyesha kuwa winning %age yetu ni 11 na wao ni 70% labda wachezaji wao muhimu waingie kwenye orodha ya majeruhi. Hata Kante akiwemo na Pulisic na Odoi. Chelsea hatuna wachezaji ambao tunajigamba wanaweza kusumbua timu kama Bayern Munich labda msimu ujao
 
Wenga atoa ya moyoni kwa nini Chelsea ilifungwa jana
Arsene Wenger believes Chelsea broke ‘rule number one’ during their Champions League defeat to Bayern Munich on Tuesday evening.
...Wenger admits Frank Lampard’s side were punished as soon as they lost control in midfield.
‘What has he [Lampard] learned… but he knew already, because you don’t lose five home games if your team is superior to every other team,’ Wenger told beIN Sports. ‘But at that level, to give possession away you’re punished at some stage because they make you run too much, and you cannot survive for 90 minutes. ‘In the Champions League, if you lost the midfield you’re in trouble, it’s rule number one
 
Lampard warned his side afterwards that their defeat was a ‘reality check’
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom