MATCH JUMAMOSI AU JUMAPILI MKUU?Injury Updates
Christensen and Kante are doubts while there’s hopes Kovacic will be okay to face Newcastle.
Aiseeeh humu kumbe kuna vitoto eeenhhhh hahaha sasa kama hukumbuki kama crespo na gudjohson wamepita hapo..daaaaahhh sina mengi ngoja ninyamaze...Dah kumbe Chelsea vimepita vyuma vya Atari ivyo!!
MATCH JUMAMOSI AU JUMAPILI MKUU?
Hahaha sisi hatuishi kwa historia kama nyie mkuu ..sisi tunatengeneza mpya, nyie bakini na za akina Thierry Henry uko cjui nani ..yani hamna kipya mnachofanya..hahahaAiseeeh humu kumbe kuna vitoto eeenhhhh hahaha sasa kama hukumbuki kama crespo na gudjohson wamepita hapo..daaaaahhh sina mengi ngoja ninyamaze...
Ila hii chelsea ni timu ya vitoto mno...muwe munasomaga hata google huko na wikipedia historia ya kitimu chenu,sio kuja kujidhalilisha hapa
Kwan kam wakiwa n vtoto au wakubwa ww inakuuma nn.ww fanya yako cio unaingilia mambo ambayo haya kuhusu.hii n kwa ajl ya chelsea ww mshabk wa arsenal nenda kwny thread yako.rubbish wwAiseeeh humu kumbe kuna vitoto eeenhhhh hahaha sasa kama hukumbuki kama crespo na gudjohson wamepita hapo..daaaaahhh sina mengi ngoja ninyamaze...
Ila hii chelsea ni timu ya vitoto mno...muwe munasomaga hata google huko na wikipedia historia ya kitimu chenu,sio kuja kujidhalilisha hapa
Mnakumbuka hii mbinu ya morinyo kwenda kuweka ukuta Kumaliza game. View attachment 1235971
Tena wewe sidhani kama hata unajua kama cecs fabrigas,ramires,oscar,lampard,sarah,na filipe luis walishawahi chezea chelsea maana umekuja kwa hasira...utafikiri mbogo hahahahaaaaaaa ukweli unauma eti eeehhhKwan kam wakiwa n vtoto au wakubwa ww inakuuma nn.ww fanya yako cio unaingilia mambo ambayo haya kuhusu.hii n kwa ajl ya chelsea ww mshabk wa arsenal nenda kwny thread yako.rubbish ww
Hakuna mtu anaitwa Sarah amewahi kuichezea chelsea.Tena wewe sidhani kama hata unajua kama cecs fabrigas,ramires,oscar,lampard,sarah,na filipe luis walishawahi chezea chelsea maana umekuja kwa hasira...utafikiri mbogo hahahahaaaaaaa ukweli unauma eti eeehhh
Wenzio tumeanza kukijua haka katimu kako kadogo hapo londo toka enzi za kina Gianfranco Zolla,Viari,Dan Petrescu na Tole andre Fro..sasa ukisikia tunakaongelea haka katimu kako ujue kuwa tunakafahamu vizuri,
Sio wewe uliekajua juzi kipindi cha kina kante, shubamitt
Alafu usinipangie pakucomment hii JF ni jukwaa huru ingekuwa haturusiwi sisi waahabiki wa timu kubwakubwa kuja katika nyuzi za timu ndogo Mods wangeweka hizo sheria...sawa dogo
Basi kama Mo Salah hajacheza chelsea basi yule alikuwa FatumaHakuna mtu anaitwa Sarah amewahi kuichezea chelsea.
Sasa wewe kwa uelewa wako Sarah na Salah ni sawa?Basi kama Mo Salah hajacheza chelsea basi yule alikuwa Fatuma
Hahaha mkuu kuyu DullyJr ni wa kanda maalumu ...kule hawajui tofauti ya R na L ...utasikia "Bhoke rara nikurenge"Sasa wewe kwa uelewa wako Sarah na Salah ni sawa?
Ahahah etty sarah yan umepanik had unakosea kuandk punguza povu ukavae nep.Tena wewe sidhani kama hata unajua kama cecs fabrigas,ramires,oscar,lampard,sarah,na filipe luis walishawahi chezea chelsea maana umekuja kwa hasira...utafikiri mbogo hahahahaaaaaaa ukweli unauma eti eeehhh
Wenzio tumeanza kukijua haka katimu kako kadogo hapo londo toka enzi za kina Gianfranco Zolla,Viari,Dan Petrescu na Tole andre Fro..sasa ukisikia tunakaongelea haka katimu kako ujue kuwa tunakafahamu vizuri,
Sio wewe uliekajua juzi kipindi cha kina kante, shubamitt
Alafu usinipangie pakucomment hii JF ni jukwaa huru ingekuwa haturusiwi sisi waahabiki wa timu kubwakubwa kuja katika nyuzi za timu ndogo Mods wangeweka hizo sheria...sawa dogo
Sarah tangu lini akachezea Chelsea ya wanaume?Tena wewe sidhani kama hata unajua kama cecs fabrigas,ramires,oscar,lampard,sarah,na filipe luis walishawahi chezea chelsea maana umekuja kwa hasira...utafikiri mbogo hahahahaaaaaaa ukweli unauma eti eeehhh
Wenzio tumeanza kukijua haka katimu kako kadogo hapo londo toka enzi za kina Gianfranco Zolla,Viari,Dan Petrescu na Tole andre Fro..sasa ukisikia tunakaongelea haka katimu kako ujue kuwa tunakafahamu vizuri,
Sio wewe uliekajua juzi kipindi cha kina kante, shubamitt
Alafu usinipangie pakucomment hii JF ni jukwaa huru ingekuwa haturusiwi sisi waahabiki wa timu kubwakubwa kuja katika nyuzi za timu ndogo Mods wangeweka hizo sheria...sawa dogo
Tatizo lenu kubwa sana hapa nyie vitoto mkikosa hoja za kusimamia mnakomaa ktk lugha na makosa ya uandishi hahahaaa hiyo ni spelling error....na hili ni jukwaa la kitimu kidogo cha london na sio darasa la sarufi....Ahahah etty sarah yan umepanik had unakosea kuandk punguza povu ukavae nep.
Ya kwak yamekushnd kazi kufuatlia ya wenzako ndo maan wabongo mnakosa maendeleo coz ya kufuatlia ya wenzen wny maendeleo.
Na hata hvy cwez bshan na mtoto kama ww ambaye bado unavaa pampers na unajkojolea hovy ktandan
Kwahiyo yooooote hujayaona umeona ya salah tu....hahahaaaa kweli zile skendo zenu zilizotapakaa naanza kuziamini sasa.....Sarah tangu lini akachezea Chelsea ya wanaume?
UJINGA HADI UNAMWAGIKIA KWA HIYO WALIOZALIWA 2002 NI DHAMBI KUWA CFC FANAiseeeh humu kumbe kuna vitoto eeenhhhh hahaha sasa kama hukumbuki kama crespo na gudjohson wamepita hapo..daaaaahhh sina mengi ngoja ninyamaze...
Ila hii chelsea ni timu ya vitoto mno...muwe munasomaga hata google huko na wikipedia historia ya kitimu chenu,sio kuja kujidhalilisha hapa
duh huyu katoka la liga kaleta ushamba wake hukoHakuna mtu anaitwa Sarah amewahi kuichezea chelsea.