tumepiga mtu 7-0 jana!!
Mkuu mtapata shida msimu ujao kwa sababu mmesajili timu mpya kabisa: kumbukeni kilichowapata Sunderland AFC na Spurs msimu ulopita.
Sisi Chelsea Fc tumesajili kulingana na mahitaji. Beki wa kushoto, mshambuliaji mkubwa, na kiungo nafasi ya Lampard. nyinyi LFC mmejaza wachezaji wengi wa aina moja tu. leteni hela tuwape Ryan Betrand..
Team haijabadilika kabisa!Kikosi cha kwanza msimu uliopita 8 watarudisha namba zao na 3 tu ndiyo wapya!Wengi tulio wasajili ni kuimarisha bench!Mwaka huu anapumzika "Nyerere" anaingia "Jumbe" moto ule ule!
Mignolet;Glen;Skrtel;Captain;Henderson;Sterling;Stur na Coutihno wanarudi kama chaguo la kwanza!Wapya wanaoingia ni Lalana;Moreno na Lovren tu!Bench lina Pepe;Sakho;Agger;Lambert;Can na mpya toka Ureno
Bench letu hata Chelsea anaweza fungwa hata Darajani kwao!Ubingwa wa wazi kabisa huu
Kama timu haijabadilika na hao hao Chelsea ndo waliwafunga nje ndani msimu uliopita iweje leo benchi limfunge Chelsea, ndugu hapo fikiria tena
Mkuu mpira una up and down zake!Kikosi hicho hicho unaweza leo ukawa BINGWA mwaka kesho ukawa wa 7 sababu kiwango cha team kimeshuka!
Man U walikuwa bingwa 2012/13 kikosi kile kile tena wakimuongeza Matta kikashika nafasi ya ngapi?Na kwa nn?Kumfunga Liverpool mwaka jana si kigezo msimu huu tena utamfunga
Kama ndo hvyo mkuu, basi na wewe usiseme kwa kikosi chako cha sasa unaweza mfunga chelsea.
Kwa maana mpira una ups and down na kusajili kwako kote unaweza ukashangaa hata Sunderland anakutoa jasho na hiyo first eleven yenu.
Sunderland usi idharau mkuu ndiyo alikutoa kwenye mbio za ubingwa msimu huu!
Jozzy Altidore mkuu huwezi msahau
Didier Drogba akitambulishwa leo Chelsea FC
Yeah lazima awafunge Arsenal kama kawaida yake
The real legend is back.... Wapinzani kaeni chonjo!
Sawa nakubali,
Na wewe Liverpool ni nani alikutoa kwenye mbio za ubigwa mkuu,