Unamjua Drogba au unamsikia?
:wacko:
msamehe bure
Unamjua Drogba au unamsikia?
:wacko:
Chelsea 2 (Salah, Fabregas)-0 Vitesse ( 58" )
(pre-season match)
Full-time! Chelsea 3-1 Vitesse
Mpira umeisha Chelsea wameshinda 3-1 shukuran ya magoli kutoka kwa Salah, Fabregas na Matic.-
Magoli yametokana na Assists mbili za Diego Costa, na faulo aliyochezewa, ambayo ilipigwa na Fabregas 25 yards
Nilifikiri anarudi kama msaidizi wa Mourinho kumbe mchezaji!!!?
Lukaku anatimkia Everton leo "time to write new chapter
Paundi M.28 ni bonge la dili nakuambia..CHELSEA FC mwaka huu ni mwendo wa faida faida tupu..
hadi sasa: David Luiz + Demba Ba + Lukaku .... na bado dirisha halijafungwa..
ha ha aha kikosi kimeanza kueleweka sasa..Cesc Fabregas the 'maestro':dance:
mkuu agosti unaona ni sahihi kumuuza lukaku kwani ameonyesha ni namna gani anakipaji kikubwa kwa kufunga magoli mengi wakati akiwa kwa mkopo.
Tena hata umri wake bado mdogo isije ikawa kama sturrigde
magoli anafunga na hata Dan unayemtaja alikuwa anafunga magoli. lakini kwenye uongozi lazima uwe na uwezo wa kufanya maamuzi magumu. huwezi kujaza washambuliaji ikiwa kuna uwezekano wa kupata hela nzuri..M.28 ni dili zuri sana.
Diego Costa anatosha sana..umetazama mechi ya jana kaka?
Timu iko sawa sana kwa sasa ... na bado wachezaji wengi hawajaripoti..MSIMU UJAO ni wa Chelsea fC kutwaa makombe mengi.
timu iko sawa mno..LUKAKU alikuwa anataka kuanza kila mechi..HAKUNA nafasi ya kumhakikishia jambo hilo. Kucheza Everton ni tofauti na kucheza Chelsea FC kumbuka..
Everton inafurahia kupata nafasi ya 4. Chelsea Fc inalenga ubingwa.. hizi ni timu mbili tofauti sana. Nadhani umenielewa mkuu..