Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
mkuu man city mbishi ila angalia game zake alizopoteza,mwaka huu wanakabwa na timu ndogo tofauti na mwaka jana,leo droo kwa QPR,we unadhani waje kuwafunga kina everton,spurs,achilia man,liverpool na arsenal,man city msimu huu hamna kituMan city bado anaonekana ni mbishi sn tofauti na LFC Arsenal na Man Utd....! Lkn kwa gape ya points iliyopo sizani km itakua kz rahisi kwa city kuipunguza...!