Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Numbers dont lie, check the score board
Man city tayari amekalishwa maana hizo point nane sijui atazifuta vipi hadi atufikie sisi
 
Man city ndo nilikuwa nawaogopa,washakalishwa nani wakutufukuzia?Southampton?
 
gape point nane na city jamani, atatukuta kweli.



Hawezi kutukuta na Southampton Ni mwepesi sn..

Nimeangalia fixtures ya December Ni ngumu sn kwasababu tutakua na mechi 8 ndani ya huo mwezi Yani kila baada ya siku 2 Hivi ya tatu mechi...! Ngoja tuone Ingawa tutakutana na timu za kawaida Lkn tunahitaji wachezaji wawe fiti wote..!
 
Man city ndo nilikuwa nawaogopa,washakalishwa nani wakutufukuzia?Southampton?



Man city ata Leo wameponea chupuchupu...! Alafu gape ya points 8 kwa wao kutufikia sio rahisi...! Maana timu yetu imedhamiria kuchukua ubingwa...!
 
Man city ata Leo wameponea chupuchupu...! Alafu gape ya points 8 kwa wao kutufikia sio rahisi...! Maana timu yetu imedhamiria kuchukua ubingwa...!

Kaka mechi ijayo tunakutana na watani,hao walituaibisha msimu uliopita,najua kichwa cha morinho hairudii makosa
 
Kaka mechi ijayo tunakutana na watani,hao walituaibisha msimu uliopita,najua kichwa cha morinho hairudii makosa



Mkuu Ni kweli mkuu. Lkn kuna kitu unaweza ukawa umejifunza kwa Mourinho..., msimu uliopita tulisema zile timu zilizopo kwenye top four zisitufunge ata moja na kweli hakuna ata moja iliyotufunga Lkn vitimu vidogo vilitusumbua sn.... Lkn msimu huu Mourinho hataki kufungwa na timu yoyote ile...! Kwa hiyo mkuu Hivi vi timu vitapigwa sn....!
 
Mkuu Ni kweli mkuu. Lkn kuna kitu unaweza ukawa umejifunza kwa Mourinho..., msimu uliopita tulisema zile timu zilizopo kwenye top four zisitufunge ata moja na kweli hakuna ata moja iliyotufunga Lkn vitimu vidogo vilitusumbua sn.... Lkn msimu huu Mourinho hataki kufungwa na timu yoyote ile...! Kwa hiyo mkuu Hivi vi timu vitapigwa sn....!

Aiseee hizi team kubwa hata haiumizi akili kwetu tangu mwaka jana,kumbuka karibu hao wote timu kubwa tuliwapiga nje ndani,tuliharibiwa sana points zetu mwaka Jana na timu ndogo kama Sunderland na westham bila hao ubingwa ungekuwa wetu,lakini mwaka huu kipigo kwa wote
 
Aiseee hizi team kubwa hata haiumizi akili kwetu tangu mwaka jana,kumbuka karibu hao wote timu kubwa tuliwapiga nje ndani,tuliharibiwa sana points zetu mwaka Jana na timu ndogo kama Sunderland na westham bila hao ubingwa ungekuwa wetu,lakini mwaka huu kipigo kwa wote


Mkuu kz kubwa imekwisha leo ktk mzungunguko huu wa kwanza..., maana game zilizobaki mpk December 28 Ni timu nyepesi ambazo haziumizi kichwa km hizi big game...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom