jamani chelsea wakumuogopa ni mancity peke yao .hawa wengine basi tena hawana uwezo wa kutukuta kabisa . unamwachwaje point 15 halafu na wewe unajiita upo kwenye mbio za ubingwa .
BR gave you a game
jamani chelsea wakumuogopa ni mancity peke yao .hawa wengine basi tena hawana uwezo wa kutukuta kabisa . unamwachwaje point 15 halafu na wewe unajiita upo kwenye mbio za ubingwa .
Team chelseafc,, leoo ushindii lazimaaa chelsea2-liver 1
bado match 8. wstbrom, sunderland, westhm, spurs, stoke, southmptn, newcastle na . kati hizo mkuu spurs ndio anaweza kututibulia malengo yetu
spurs tunamchapa kama mtoto kuna Newcastle na westham plus southhampton hawa wamejiandaa kutibua waongoza ligi
Mkuu Kazi imekwisha Jana....! Hizi timu zilizobaki tutazifunga vibaya sn...!
ni kweli kazi imekwisha jana lakini kuna mwezi december kila baada ya siku mbili au tatu kuna game so nawaza fitness ya kila mchezaji kuleta matokeo chanya specifically kwenye barclays premeire league
Tusiwadharau Southampton wakuu ukaribu wao si mzuri hii ligi ya uingereza si bongo,unaweza kushangaa hawavutwi chini
Mpk tutakapokutana Southampton December 28 tayari watakua wamefungwa na kutoka nafasi ya pili... Sisi tutawamalizia tu...!
Nasubiri wakutane na timu kubwa nione je watakaa pale au watashuka kama Swansea walivyoanza
Lazima watoke hapo juu...! Tena wakifungwa michezo miwili tu basi wanatoka hapo juu....!
Hii kombe tumechukua aisee,niliowaogopa ilikuwa man city,walivyo wabovu hata kwao hawapumui basi njia nyeupw
nipo asee...unahasira sana Jamaa ...mlininyima last season ubingwa so siipend chelsea kinyama...HONGERENI
hahaha kauli ya madharau mkuu,kwahiyo hao wengine hawana madhara tena?jamani chelsea wakumuogopa ni mancity peke yao .hawa wengine basi tena hawana uwezo wa kutukuta kabisa . unamwachwaje point 15 halafu na wewe unajiita upo kwenye mbio za ubingwa .