Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo asikusumbue... Ngoja niwambie majembe wa lugha km zake waende ktk Uzi wao kule wakarushe maneno..!

Viol Grand PA komaeni na Uzi wa loserfool muwezavyo...!

mkuu Ntuzu huyo hata asikuumize kichwa! ye mwenyewe anaelewa! kesho hatoki, sema nguvu za banana na viroba ndio zinampeleka peleka!" ...........

Grand PA
 
Last edited by a moderator:
Jose 1 del bosque 0 baada ya kelele za muda mrefu kuwa Diego costa maumivu yake ya paja hayapewi kipaumbele kocha wa hispania ameamua kumuacha diego kwenye hii international break
 
we nawe acha kupoteza muda wako!" kelele nyiiingi, wakat unajua timu yako! majanga, ........ muda wako ungeuwekeza kwenye mambo ya msingi angalau upate hela.

Grand PA

teh teh teh teh....nahisi we nitajiri sana,,jmos sio mbal ndoutajua ata chelsea ni mbovu
 
Team chelseafc,, leoo ushindii lazimaaa chelsea2-liver 1
 
Game 3 za karibuni za LFC vipi unaangalia pia?

L L L

Game 3 za karibuni za CHELSEA FC.
D W D


Unafikiri sisi wajinga kama wewe?

teh teh teh teh...at the begining it waz W W W now its D W D..Ndomana nakwambia mchaanza kuchungulia kabur.
 
Ntuzu agosti 8 jiandaeni kisaikolojia kabisa maana leo nakuchapa Anfield!Kama kawaida yenu mmeanza kutepeta kadri ligi ikiwa inasonga mbele
 
Last edited by a moderator:
Chelsea wins, na asiposhinda basi wanipe BAN hadi Jumamosi Ijayo Invisible
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu agosti 8 jiandaeni kisaikolojia kabisa maana leo nakuchapa Anfield!Kama kawaida yenu mmeanza kutepeta kadri ligi ikiwa inasonga mbele

Sisi Ni timu ambayo tunajijua wakati wote..... Ukitbelea baadhi ya Vyombo vya habari huwezi kuta Jose Mourinho akirusha sn maneno ktk hii mechi ya Leo kz hiyo inafanywa na wachezaji wa Chelsea...! Kitu cha kufurahisha Ni kwamba tunashangaa LFC Ni timu kubwa sn Lkn kwanini iwe ktk nafasi hizo za chini?!!! Ingawa Mmeanza kuimprove Lkn sio kuja kuimprove kwa Chelsea Hilo halitotokea kamwe ktk Mchezo wa Leo...! Baadhi ya timu kubwa zimekua zikipaki bus zinapokutana na Chelsea Hali hii inaweza kutokea hata kwa LFC Leo...!
 
Last edited by a moderator:
Golini atakua Courtois

Beki za pembeni Ni Ivanovic na Azzp

Beki za Kati Ni Terry na Cahill

Viungo wa Kati Fabregas na Matic na Oscar

Viungo wa pembeni Ni Willian na Hazard.

Mshambuliaji Ni Costa...!

LFC lazima wapaki bus na kutafuta mbinu ya kutuzuia...!

#KTBFFH
 
Golini atakua Courtois

Beki za pembeni Ni Ivanovic na Azzp

Beki za Kati Ni Terry na Cahill

Viungo wa Kati Fabregas na Matic na Oscar

Viungo wa pembeni Ni Willian na Hazard.

Mshambuliaji Ni Costa...!

LFC lazima wapaki bus na kutafuta mbinu ya kutuzuia...!

#KTBFFH

yetu macho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom