Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

watu hutofatiana umri; kwa hiyo hata kuingia kwenye timu inaweza kuwa tofauti pia.

Hata LFC fans; wengine wamekuwepo tangu Enzi za kuangalia mikanda iliyorekodiwa ya mechi za Ulaya ambayo ndugu na marafiki kutoka ughaibuni walileta.

Wengine LFC wa Enzi ya KD,
Wengine LFC wa Enzi ya Gerrard Houllier
Wengine watoto wa juzi..


hakuna cha ajabu; mkuu Malafyale.

Ishu ya msingi; kila anapenda apendacho..



Ehehehehehe wakati mdhamini wa Chelsea ni auto-Glass ndugu yangu kweli ulikuwa Chelsea?

Kicheko cha RRONDO kinaanzia hapo eheheheheh
 
watu hutofatiana umri; kwa hiyo hata kuingia kwenye timu inaweza kuwa tofauti pia.

Hata LFC fans; wengine wamekuwepo tangu Enzi za kuangalia mikanda iliyorekodiwa ya mechi za Ulaya ambayo ndugu na marafiki kutoka ughaibuni walileta.

Wengine LFC wa Enzi ya KD,
Wengine LFC wa Enzi ya Gerrard Houllier
Wengine watoto wa juzi..


hakuna cha ajabu; mkuu Malafyale.

Ishu ya msingi; kila anapenda apendacho..
umemsahau roy evans mkuu, si katoka juzi tu ndo akaja g h
 
watu hutofatiana umri; kwa hiyo hata kuingia kwenye timu inaweza kuwa tofauti pia.

Hata LFC fans; wengine wamekuwepo tangu Enzi za kuangalia mikanda iliyorekodiwa ya mechi za Ulaya ambayo ndugu na marafiki kutoka ughaibuni walileta.

Wengine LFC wa Enzi ya KD,
Wengine LFC wa Enzi ya Gerrard Houllier
Wengine watoto wa juzi..


hakuna cha ajabu; mkuu Malafyale.

Ishu ya msingi; kila anapenda apendacho..

mkuu naona unatesa ligi hii...city ndio mpinzani wako naye ndio mbooovu kuliko man utd!!!! hamna msimu rahisi kwenu kama huu,jitahidi mpotee hivyo hivyo kabla hatujazinduka mtachukua ubingwa mechi 7 kabla!
 
hao majogoo lazm tuyakaange na yawe supu tiyari kwa kuliwa na chapati.

ata wenzio wanajua iyo bikra mlotunza jmoc ndo mwisho wake vidume vitaitusua kweupe.......kwa LIVER nyie ni weupe sana tena walain mnaiva kwa moto wa magazeti....
 
Basi tumia lugha nzuri mkuu ata km ndio mambo ya Mpira Lkn upunguze ukali wa maneno....! Kuna Chelsea fans wengine hawawezi kuvumilia hizi lugha zako.....! Ni ushauri tu nimetoa...!

Btw, tunafahamu Ni kiasi gani mtakua mmejiandaa kucheza Mpira wa nguvu hasa mkizingatia vitu kadhaa.... Kwanza hamtaki tuwafunge tena hapo kwenu, na pili mnataka muwe wa kwanza kutufunga ktk msimu huu.... Lkn napenda mfahamu Kua mkijitahidi sn siku hiyo mtapata draw vinginevyo kichapo kiko palepale...!

msiogope wananzengo bikra simaanishi ya mtu ila yakufungwa na JOGOO....ASANTEN KWA HUAMINIFU WENU KWETU KWA KUITUNZA JMOC KAMA KAWAIDA BALOTEL LAZIMA AMWACHE NA MAUMIVU MTU
 
utabiri ni kazi tofauti kabisa...




Kaka naona umeanza kukata tamaa sasa "tulipata bao likakataliwa"! Refa akilikataa ina maana siyo bao!

Why uende hadi kutegemea penalty kwa Marboro?Je hujui kuwa washindi kundi lenu kutawaondolea uwezekano wa kukutana na miamba kana Munich na Madrid?

Mm isha washtukia nyie kama mmeanza kutepeta kama kawaida yenu kwenye game ya Man U na QPR

Jumamosi nakupiga easy kabisa
 
in fact mechi ya mwisho ya mashindano sisi kufungwa ni April 2014 kwenye nusu fainali na Athletico Madrid. Baada ya hapo hatujafungwa hata game moja! na hatufungwi in a near future at all! kufungwa kwetu ni kama jana...kutoa sare. na ndio maana hawa waliozoea kuchonga na waliozoea kufungwa wanaona point kuwa 'tumefungwa'. kiukweli ni admiration waliyonayo kwetu, kwa kujua au kwa kutokujua hata wakatae vipi wanatukubali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom