Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Golini atakua Courtois

Beki za pembeni Ni Ivanovic na Azzp

Beki za Kati Ni Terry na Cahill

Viungo wa Kati Fabregas na Matic na Oscar

Viungo wa pembeni Ni Willian na Hazard.

Mshambuliaji Ni Costa...!

LFC lazima wapaki bus na kutafuta mbinu ya kutuzuia...!

#KTBFFH

mkuu naomba ufafanuz kwan Ivanovic si alipewa red card mech na man u …mbona anacheza hata gem na QPR pia alicheza au hakufungiwa kucheza mechi 3 ?!
 
yetu macho.

Bora....!

Msimu uliopita tulikua Kwao majogoo zikiwa zimebaki mechi tatu Hivi ligi iishe Na LFC kuweza kuchukua ubingwa...! Mchezo ulikua ktk mazingira magumu sn na mgumu pia kwasababu LFC walitakiwa kufanya kila njia washinde ili wawe mabingwa...! Lkn kwasababu timu yetu inajua vzr kukabiriana na kila aina ya Mchezo na kwa mazingira yoyote Yale, kilichotokea pale Kwao sote tunakijua...!


Leo tutakua hapo Kwao tena Ni Mchezo mgumu Na kuna Hali kadhaa zinafanya Mchezo uwe mgumu Lkn tunafahamu nini tunakwenda kufanya....!
 
mkuu naomba ufafanuz kwan Ivanovic si alipewa red card mech na man u …mbona anacheza hata gem na QPR pia alicheza au hakufungiwa kucheza mechi 3 ?!



Ni Mchezo Mmoja tu ambao alipaswa kuutumikia ktk hiyo adhabu yake.....! Na mechi ya capital one hakucheza hiyo ndio alitumikia hiyo adhabu...!
 
mkuu naomba ufafanuz kwan Ivanovic si alipewa red card mech na man u …mbona anacheza hata gem na QPR pia alicheza au hakufungiwa kucheza mechi 3 ?!

alipewa red ya two yellows....hio ni suspension ya game moja inayotambulika na fa kwahio alikosa game ya capital one cup.
 
Bora....!

Msimu uliopita tulikua Kwao majogoo zikiwa zimebaki mechi tatu Hivi ligi iishe Na LFC kuweza kuchukua ubingwa...! Mchezo ulikua ktk mazingira magumu sn na mgumu pia kwasababu LFC walitakiwa kufanya kila njia washinde ili wawe mabingwa...! Lkn kwasababu timu yetu inajua vzr kukabiriana na kila aina ya Mchezo na kwa mazingira yoyote Yale, kilichotokea pale Kwao sote tunakijua...!


Leo tutakua hapo Kwao tena Ni Mchezo mgumu Na kuna Hali kadhaa zinafanya Mchezo uwe mgumu Lkn tunafahamu nini tunakwenda kufanya....!

hapa naona kuna draw.
 
hapa naona kuna draw.

Draw waipate wapi?
Mkuu walitufunga April sababu pressure yote ilikuwa kwetu maana wao Chelsea ilikuwa tayari wapo nje ya ubingwa so wakawa hawana cha kupoteza!

Mwaka huu lzm Mourihno ashinde ubingwa ili asifukuzwe so pressure imehamia kwao now

Nawapiga hawa easy tu
 
funny-pictures-of-english-premier-league-epl-2012-13-season-04.jpg
 
Draw waipate wapi?
Mkuu walitufunga April sababu pressure yote ilikuwa kwetu maana wao Chelsea ilikuwa tayari wapo nje ya ubingwa so wakawa hawana cha kupoteza!

Mwaka huu lzm Mourihno ashinde ubingwa ili asifukuzwe so pressure imehamia kwao now

Nawapiga hawa easy tu

all the best mkuu.
 
Draw waipate wapi?
Mkuu walitufunga April sababu pressure yote ilikuwa kwetu maana wao Chelsea ilikuwa tayari wapo nje ya ubingwa so wakawa hawana cha kupoteza!

Mwaka huu lzm Mourihno ashinde ubingwa ili asifukuzwe so pressure imehamia kwao now

Nawapiga hawa easy tu

wewe poyoyo wa uchambuzi april tulikupiga wakati beki wa kati alikuwa Tomas kalas katoto kadogo Terry alikuwa anaumwa na Torres alianza bechi palekati alikuwa matic na mikel goilin alikuwa mark shwarzer, nafikiri unaona tofauti na leo wewe ulikuwa suarez na sturigde na mtelezaji SG na tukakutandika kichapo ukiwa na kikosi chako kamili leo tunakutoboa tatu kavu narudia tatu kavu
 
Draw waipate wapi?
Mkuu walitufunga April sababu pressure yote ilikuwa kwetu maana wao Chelsea ilikuwa tayari wapo nje ya ubingwa so wakawa hawana cha kupoteza!

Mwaka huu lzm Mourihno ashinde ubingwa ili asifukuzwe so pressure imehamia kwao now

Nawapiga hawa easy tu



Nyie ndio mko kwenye pressure kubwa hasa kocha wako maana huenda akatimuliwa km atapoteza huu Mchezo wa Leo na hii inatokana na Yeye kishindwa kupata kikosi imara cha kwanza...! Kikosi chake imara cha kwanza kimekuwa hakifanyi vzr kabisa na ndio maana pale Santiago alifanya marekebisho...! Ingawa inaonekana alipumzisha wachezaji kwa ajili ya Mchezo Leo hii nayo inaongeza pressure kwa BR iwapo km atapoteza huu Mchezo...!
 
wewe poyoyo wa uchambuzi april tulikupiga wakati beki wa kati alikuwa Tomas kalas katoto kadogo Terry alikuwa anaumwa na Torres alianza bechi palekati alikuwa matic na mikel goilin alikuwa mark shwarzer, nafikiri unaona tofauti na leo wewe ulikuwa suarez na sturigde na mtelezaji SG na tukakutandika kichapo ukiwa na kikosi chako kamili leo tunakutoboa tatu kavu narudia tatu kavu

mzimu wa liverpool ushaanza kukusumbua,,,SUBIR KIDOGO KIBRA INAKARIBIA...YNWA
 
nyie ndio mko kwenye pressure kubwa hasa kocha wako maana huenda akatimuliwa km atapoteza huu mchezo wa leo na hii inatokana na yeye kishindwa kupata kikosi imara cha kwanza...! Kikosi chake imara cha kwanza kimekuwa hakifanyi vzr kabisa na ndio maana pale santiago alifanya marekebisho...! Ingawa inaonekana alipumzisha wachezaji kwa ajili ya mchezo leo hii nayo inaongeza pressure kwa br iwapo km atapoteza huu mchezo...!


kumbe unajua lazima tushinde ili asifukuzwe??...basi kushinda leo ni lazima jua hilo
 
sisi ni timu ambayo tunajijua wakati wote..... Ukitbelea baadhi ya vyombo vya habari huwezi kuta jose mourinho akirusha sn maneno ktk hii mechi ya leo kz hiyo inafanywa na wachezaji wa chelsea...! Kitu cha kufurahisha ni kwamba tunashangaa lfc ni timu kubwa sn lkn kwanini iwe ktk nafasi hizo za chini?!!! Ingawa mmeanza kuimprove lkn sio kuja kuimprove kwa chelsea hilo halitotokea kamwe ktk mchezo wa leo...! Baadhi ya timu kubwa zimekua zikipaki bus zinapokutana na chelsea hali hii inaweza kutokea hata kwa lfc leo...!

timu gan ilipaki basi kipind mlipo cheza nayo...evidence plz
 
muuaj ni balotel...nilikua naisubil sana hii siku



Baloteli Ni chizi...

Kocha anatumia dakika 14 za kipindi cha mapumziko kumsihi Yeye tu tena akiongea na Balo tu Kua, acheze Mpira tu, ata km mchezaji akimchezea rafu, Yeye acheze Mpira tu amuachie Refa, ata Km refa akitoa maamuzi mabaya, Yeye amuache tu, ata km mchezaji akimtolea maneno mabaya Balo, Yeye amuache,! Then kipindi cha pili kilipoanza baada ya maneno yoote Hayo na kocha wake kutumia muda mwingi kumsihi dakika ya 46 Baloteli akapewa kadi nyekundu... Huyu si chizi huyu?!!! Alafu wewe ndo unatutisha na chizi? Kweli wewe poyoyo...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom