Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

baloteli ni chizi...

Kocha anatumia dakika 14 za kipindi cha mapumziko kumsihi yeye tu tena akiongea na balo tu kua, acheze mpira tu, ata km mchezaji akimchezea rafu, yeye acheze mpira tu amuachie refa, ata km refa akitoa maamuzi mabaya, yeye amuache tu, ata km mchezaji akimtolea maneno mabaya balo, yeye amuache,! Then kipindi cha pili kilipoanza baada ya maneno yoote hayo na kocha wake kutumia muda mwingi kumsihi dakika ya 46 baloteli akapewa kadi nyekundu... Huyu si chizi huyu?!!! Alafu wewe ndo unatutisha na chizi? Kweli wewe poyoyo...!

thanx poyoyo mimi but leo ndoutajua balotel ni chiz au mwehu ndan ya nyavu zenu...ushaur wangu anza kujiandaa kisaikolojia mapema na kufungwa leo,kama unatumia viroba anza kutumia kuanzia saiv vinaweza kukusaidia..ynwa
 
mzimu wa liverpool ushaanza kukusumbua,,,SUBIR KIDOGO KIBRA INAKARIBIA...YNWA


Mkuu nyangelekene, nakuomba baada ya mechi usije ukapotea....uendelee kuwepo tafadhali. Maana watu kama nyie mna maneno mengi lakini baada ya kichapo mnakimbia na kupotea. Maneno yako yatakuponza.

Leo tunawafunga magoli yasiyopungua mawili na hamtagusa nyavu zetu....mark my words mkuu.
 
Last edited by a moderator:
mkuu nyangelekene, nakuomba baada ya mechi usije ukapotea....uendelee kuwepo tafadhali. Maana watu kama nyie mna maneno mengi lakini baada ya kichapo mnakimbia na kupotea. Maneno yako yatakuponza.

Leo tunawafunga magoli yasiyopungua mawili na hamtagusa nyavu zetu....mark my words mkuu.

jogoo akimaliza kazi yake sina haja yakuja tena humu ntawaacha muendelee na maombolezo....ynwa
 
ulishaona mashabiki wa chelsea wakawa waoga km nyie mnaoshangilia kufungwa goli moja?

perfomance ndo ilisabaisha tukafungwa goli moja so issue sio goli moja issue ni kiwango kilicho onyeshwa na timu..au kuelewa ad tuition jamaa
 
thanx poyoyo mimi but leo ndoutajua balotel ni chiz au mwehu ndan ya nyavu zenu...ushaur wangu anza kujiandaa kisaikolojia mapema na kufungwa leo,kama unatumia viroba anza kutumia kuanzia saiv vinaweza kukusaidia..ynwa


Tunamjua Balo Ni mwehu.... Na dawa ya mwehu tunaijua vzr...!
 
Jose Mourinho - ''My approach is when Liverpool have the ball we have to defend, when we have the ball we have to attack. When they have the ball we try to stop them, when we have the ball we have to score. This is the A, B, C of football... It is simple''

Ushindi lazima leo. Go Chelsea...goooooo!
 
Jose Mourinho - ''My approach is when Liverpool have the ball we have to defend, when we have the ball we have to attack. When they have the ball we try to stop them, when we have the ball we have to score. This is the A, B, C of football... It is simple''

Ushindi lazima leo. Go Chelsea...goooooo!

Trying to defend negative mentalities..
 
Wanaliverpool naomba tuelewane baadaye hatutaki malalamiko kwamba ilikuwa hivi na hivi ndo maana mmetufunga
 
La kwanza hilo!Kumbukeni hamjawahi kuanza kufungwa kwenye EPL sisi ndiyo wa kwanza!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom