Hivi waliposhikana na alimwanza mwenzake?maana channel niliyoangalia hawajaonyesha hilo tukio vizuri
wakuu sio mbaya mkanipa maelezo tatizo hasa la Gunner's kuchezea kichapo kwa Chelsea nini, nimelazimika kulala saa 7 usiku, Saa 9 Konyagi imekata, sijui kwa nini niliupenda Mpira na michezo ipo mingi.
Angalia hii hapa chini ndio utajua nani alianzaHivi waliposhikana na alimwanza mwenzake?maana channel niliyoangalia hawajaonyesha hilo tukio vizuri
Hata ile game ya man c tulikuwa tunashinda , tatizo mour sub alifanya mapema mno. ndio maana pellegrin anajiona mjanja na kuongea sana. Crystl palace wakuu alitufunga sasa safari hii sijui itakuwaje
Mkuu Mndengereko Asante sn mkuu, Msalimie sn utafiti maana baada ya Arsenal kuifunga Galatasaray alikua ananipigia sn kelele! Mara ooooh tunakuja Mara sijui nini! Lkn sasaiv amepotea simuoni!
Hata ile game ya man c tulikuwa tunashinda , tatizo mour sub alifanya mapema mno. ndio maana pellegrin anajiona mjanja na kuongea sana. Crystl palace wakuu alitufunga sasa safari hii sijui itakuwaje
Mkuu Mndengereko kunguru kumnyea binadamu makusudi au bahati mbaya? Ndugu zako wamebahatika basi hatuna amani tena.... Ntuzu anajitangazia yeye bingwa kila kona...haya bana jana walikua kwao darajani
Hivi waliposhikana na alimwanza mwenzake?maana channel niliyoangalia hawajaonyesha hilo tukio vizuri
tutashinda kama jana. uwe na amani. kila kitu kiko under control.
CHELSEA FC. - FOREVER BLUE.
cc. Ntuzu, Mentor, Viol, kalou..
Wenger alipanic, hahaha
na auwezi kumuona ila mkuu mnanishngaza kwa pande mwingie kuwona mnashangilia sana kumfunga arsenal wakati ni kibonde wenu ni sawasawa na mme afurahie kwamba mkewe kampa unyumba na aende kutangaza kwa majirani wakati ni haki yake ileMkuu Mndengereko Asante sn mkuu, Msalimie sn utafiti maana baada ya Arsenal kuifunga Galatasaray alikua ananipigia sn kelele! Mara ooooh tunakuja Mara sijui nini! Lkn sasaiv amepotea simuoni!