Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kama kumsukuma mlevi vile, watoto wa darajani mwaka huu kombe letu hilo
 
Leo wangekuwepo Drogba na Lampard mngeshinda 7
 
inawezekana, lkn sio mbaya. point 3 kwapu, arsenal wamefulia leo!
 
Tumeishaziweka kibindoni hizi 3 za leo macho na masikio yetu ni Emirate..
 
Florent-Malouda-Chelsea-Premier-League_2387474.jpg

 
wadau wa 'darajani' tukutane hapa!

i1101_918511mediumlandscape.jpg


mwaka huu ni ubingwa tu!
 
mbona mnachanganya habari thread kibao au hii ya champions league? lol haya hongerini kwa kufungua tawi jipya ndani ya JF.sasa hivi mtajenga makundi kama yanga lol.
 
mbona mnachanganya habari thread kibao au hii ya champions league? lol haya hongerini kwa kufungua tawi jipya ndani ya JF.sasa hivi mtajenga makundi kama yanga lol.
mbona wewe unakula ugali wa muhogo na mboga zenye chumvi? hapo hauchanganyi mambo?
 
hizi thread ziunganishwe na ile original ya the Blues
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom