Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

10641001_585009154959507_985733426922218266_n.jpg

KUNA TOFAUT KUBWA HAPO
 
Man utd ni mbovu kuanzia kwenye kiungo mpaka kwenye backline!!

na hao majeruhi unaowazungumzia wote ni mediocre players..Phill jones, carrick, Evans etc, ni wachezaj ambao hawatakuongezea chochote kwenye team!

Ni makosa tu ambayo yanafanywa na clubs zetu, sometimes unakuta club inaspend BIG kwa mchezaj lakin tatizo bado linakuwa pale pale, (kma LFC kwa Lovren), Manchester utd baada ya kukamilisha usajili wa Di Maria, mlikuwa mnawahitaj zaid kina Hummels, benatia, Calvariho, De jong etc, but you decided to go for Falcao and Blind, naelewa lengo la kumsajili Falcao lilikuwa ni kwa ajili ya kuleta ile fear factor kwa opponents, lakin itafail as long as defense ni mbovu na opponents washalijua hilo...

Cambiasso (MZEE zaid ya Lampard na SG) dominated the midfield yesterday..Blind and Herrera made him look like a 23 years old midfield..huwez kutegemea ushind Etihad au darajan na Midfield ile!

Belo, Me nna hali ngumu, Lakin wewe una hali ngumu zaid ndugu yangu!

Ubovu wa Defence ya Man unazidi kuchangiwa na mfumo wa Kocha wa kuweka mabeki watatu Nyuma, kujaza kiungo na strikers, huwezi kudhoofisha beki na kuwajaza Falcao, Di Maria, Rooney, Van Persey Pamoja, Huo mfumo ungeweza kufanaya kazi kama una Mastrikers ambao wanarudi kukaba kwenye midfield na midfields wanakuja kukaba kwenye beki.

lakini huo mstari wa mbele wa Man U mkabaji ni Rooney peke yake, nina wasiwasi kuwa hata kama wakipata Beki wazuri bado watakuwa na shida ya mfumo

Wachezaji kama Mata na Fellain nadhani ndio basi tena
 
Man utd ni mbovu kuanzia kwenye kiungo mpaka kwenye backline!!

na hao majeruhi unaowazungumzia wote ni mediocre players..Phill jones, carrick, Evans etc, ni wachezaj ambao hawatakuongezea chochote kwenye team!

Ni makosa tu ambayo yanafanywa na clubs zetu, sometimes unakuta club inaspend BIG kwa mchezaj lakin tatizo bado linakuwa pale pale, (kma LFC kwa Lovren), Manchester utd baada ya kukamilisha usajili wa Di Maria, mlikuwa mnawahitaj zaid kina Hummels, benatia, Calvariho, De jong etc, but you decided to go for Falcao and Blind, naelewa lengo la kumsajili Falcao lilikuwa ni kwa ajili ya kuleta ile fear factor kwa opponents, lakin itafail as long as defense ni mbovu na opponents washalijua hilo...

Cambiasso (MZEE zaid ya Lampard na SG) dominated the midfield yesterday..Blind and Herrera made him look like a 23 years old midfield..huwez kutegemea ushind Etihad au darajan na Midfield ile!

Belo, Me nna hali ngumu, Lakin wewe una hali ngumu zaid ndugu yangu!
Kwanza game ya jana sijaiangalia so siwezi kuizungumzia sana

Nakubaliana na wewe kuhusu kwenye defence but sio kwenye kiungo,Evans/Jones/Smalling wameshindwa kuziba hiyo nafasi muda mwingi ni majeruhi ni ngumu sana wakacheza game 3 mfululizo.Ndio maana Blackett kacheza game zote kwa umri wake so far namuona ni mzuri kuliko Evans/Jones/Smalling anatakiwa kupata CB mzoefu wa kucheza nae.Temporary solution kwa sasa Shaw acheze kushoto,Valencia kulia Rojo na Blacket wacheze kati

Kwenye kiungo still naamini Herera na Blind wameleta uhai kwenye timu kwa sasa ni afadhali wakizoea ligi watasaidia.

Tatizo kubwa analolifanya LVG now ni kulazimisha Rooney,Di Maria,Falcao na RVP kucheza pamoja.Striker mmoja RVP/Falcao anastahili kuanzia benchi ili ku-balance timu
 
Daaah poleni wakuu Mentor maana kama ingekuwa 11-11 uwanjani tungekuwa tunaongea mengine hapa!

Kabla Zabaleta hajatoka Kompany ali win kila battle ya kugombea mpira na Costa!Mshambuliaji wenu ni special kqa mid table teams au?
 
Last edited by a moderator:
Naelewa yote hayo Ndio maana siwezi sema neno lolote juu yake Zaidi ya kuumia Moyo na pia ata yeye Hana furaha japokua alifunga! Upo hapo mkuu?

11-11 Diego Costa hakufanya lolote dimbani na hii likely ni wake up call kwenu na isije ikawa kama Suarez kufunga only mid table teams

(Suarez hajawahi ifunga elite teams notably Man U;Man City;Arsenal na Chelsea ktk EPL)
 
11-11 Diego Costa hakufanya lolote dimbani na hii likely ni wake up call kwenu na isije ikawa kama Suarez kufunga only mid table teams

(Suarez hajawahi ifunga elite teams notably Man U;Man City;Arsenal na Chelsea ktk EPL)

Diego costa ameifunga Real Madrid barcelona,bayern munchen, PSG
 
11-11 Diego Costa hakufanya lolote dimbani na hii likely ni wake up call kwenu na isije ikawa kama Suarez kufunga only mid table teams

(Suarez hajawahi ifunga elite teams notably Man U;Man City;Arsenal na Chelsea ktk EPL)


Subiri aje hapo kwenu Kwa kajogoo aje awachape tatu peke yake hapo ndipo mtaona moto wake!
 
hujui kwamba mchezo wa mpira unafuata sheria 17? au wewe ndo walewale ambao wanataka kufosi matokeo?
sasa mtu anacheza mieleka kwa nini asitolewe? angalia Silva pia alikuwa anapaswa kutolewa kwa kadi nyekundu..City wanatumia nguvu nyingi bila akili wanapocheza na Chelsea Fc.

NB. mechi ya tatu mfululizo kwenye
EPL. MAN CITY hawajaifunga Chelsea FC.


Daaah poleni wakuu Mentor maana kama ingekuwa 11-11 uwanjani tungekuwa tunaongea mengine hapa!

Kabla Zabaleta hajatoka Kompany ali win kila battle ya kugombea mpira na Costa!Mshambuliaji wenu ni special kqa mid table teams au?
 
LFC Ha ha ha ha ha mechi 5 mshapoteza 2..hakuna jipya mwaka huu mnarudi nafasi zenu..
:wacko:



Daaah poleni wakuu Mentor maana kama ingekuwa 11-11 uwanjani tungekuwa tunaongea mengine hapa!

Kabla Zabaleta hajatoka Kompany ali win kila battle ya kugombea mpira na Costa!Mshambuliaji wenu ni special kqa mid table teams au?
 
Diego costa ameifunga Real Madrid barcelona,bayern munchen, PSG

Huko alicheza na mafundi!Kama mido yako ni Turan na mbele unasimama na Garcia na nyuma yako kuna Miranda na Godin why usifunge?

Yale mapande ya Koke hata wewe Ntuzu ungefunga tu!Kaja huku kweli anaweza piga one-two na Terry kama alivyokuwa anapiga na akina Luis Filipe kule?
 
Last edited by a moderator:
hujui kwamba mchezo wa mpira unafuata sheria 17? au wewe ndo walewale ambao wanataka kufosi matokeo?
sasa mtu anacheza mieleka kwa nini asitolewe? angalia Silva pia alikuwa anapaswa kutolewa kwa kadi nyekundu..City wanatumia nguvu nyingi bila akili wanapocheza na Chelsea Fc.

NB. mechi ya tatu mfululizo kwenye
EPL. MAN CITY hawajaifunga Chelsea FC.


Kituko alitoa ubashiri wake ktk chambuzi zake KABLA ya game kwamba city watapata kadi nyekundu na akawataja kabisa Kwa majina na Zabareta alimtaja na hicho Ndio kilichotokea!

Wale City walipagawa sn tena Kwa aina ya uchezaji wao vile msimu huu hawana chao!
 
Last edited by a moderator:
Huko alicheza na mafundi!Sasa kama mifo yako ni Turan na mbele unasimama na Garcia na nyuma yako kuna Miranda na Godin why usifunge?

Yale mapande ya Koke hata wewe Ntuzu ungefunga tu!Kaja huku kweli anaweza piga one-two na Terry kama alivyokuwa anapiga na akina Miranda?


Kuna mambo makubwa sn yatakuja Kwa Costa na Remy na hili limedhihirika wazi ktk EPL. Kua na SUBIRA mkuu. Nafikiri utakua wa kwanza kuja humu na kusema Costa ni kitu kingine!
 
Last edited by a moderator:
Subiri aje hapo kwenu Kwa kajogoo aje awachape tatu peke yake hapo ndipo mtaona moto wake!

Diego hana ujanja wa kuwafunga majogoo aiseee ujinga aliofanya zabaleta umewaokoa sana nyie ilkuwa mpgwe para la adabu!
 
Kuna mambo makubwa sn yatakuja Kwa Costa na Remy na hili limedhihirika wazi ktk EPL. Kua na SUBIRA mkuu. Nafikiri utakua wa kwanza kuja humu na kusema Costa ni kitu kingine!

Man city tayari wameshawatia kimavi next game nyie jamaa hamshindi ntakuja kuwakumbusha. Drogba mlimsifu sana asaiv mmegundua mlilamba galasa mnaanza kubashiri kwa remy hahahahahaha!
 
hata Mario alikuwa mfungaji mzuri alipokuwa City..huku LFC anapoteza muda tu..



Huko alicheza na mafundi!Kama mido yako ni Turan na mbele unasimama na Garcia na nyuma yako kuna Miranda na Godin why usifunge?

Yale mapande ya Koke hata wewe Ntuzu ungefunga tu!Kaja huku kweli anaweza piga one-two na Terry kama alivyokuwa anapiga na akina Luis Filipe kule?
 
Kituko alitoa ubashiri wake ktk chambuzi zake KABLA ya game kwamba city watapata kadi nyekundu na akawataja kabisa Kwa majina na Zabareta alimtaja na hicho Ndio kilichotokea!

Wale City walipagawa sn tena Kwa aina ya uchezaji wao vile msimu huu hawana chao!

Mkuu mambo ya kusema cjui nani hana chao kwa sasa bado ni mapema sana we cheki gemu zinavokwenda may b atleast january ndo ujivike ushehe yahaya.
 
Last edited by a moderator:
West Ham kawatieni kipapai..subiri jumamosi vs Everton..:wacko:


Man city tayari wameshawatia kimavi next game nyie jamaa hamshindi ntakuja kuwakumbusha. Drogba mlimsifu sana asaiv mmegundua mlilamba galasa mnaanza kubashiri kwa remy hahahahahaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom