Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Walimuuza.
Sasa sijui morinho kaumia maana jamaa bado anaonekana yupo vizuri!!nilichopenda mashabiki wa Chelsea walimshangilia alivyoingia na yeye pia alivyowafunga hakushangilia
Wangekuwa mashabiki wa arsenal wangezomea
acha mayowe mkataba uliisha....!Walimuuza.
Mshukuruni zabaleta leo mlikuwa mnanyolewa kipara.
Mshukuruni zabaleta leo mlikuwa mnanyolewa kipara.
Beki Yetu Inajitahd ila bado Mou anatakiwa Aitwisti kidogo Inachujs, ni mda mrefu hatuna clean sheets
Mimi nasema hivii Petr Cech arudi golini huyu dogo anatuzingua. Nina uhakika Cech lile goli angelipangua...nammind sana huyu dogo sometimes anaokoa poa sana next anafungwa goli la kizembe tu. Wala sio defence apo.
Next ni attacking mid aliyoipanga Mou ni sawa kabisa na alivyopanga Ntuzu na mimi nilikataa. Game kama ile ni ya kucheza against Man utd wenye defence kama wavu wa goli.
Mimi ningependelea iwe Hazard-Oscar-Schurrle/Willian. Yani game ya jana si ya Oscar kukosa sijui kwa nini Mou huwa hamuamini huyu dogo hana nguvu ila akili anayo. Kawaweka Willian na Hazard wote ni kupoteza mipira tu...ndo maana huwa nampenda Schurrle sana..yupo goal oriented.
Shitty walituzidi kutokana na safu iliyopangwa ya Chelsea.
Halafu Mou akafanya subs haraka kiasi. Ok simlaumu sana lakini angesubiri kabla ya kumuweka Mikel (defence oriented) halafu Zaba akaipata ile red card...am sure ingekuwa ni hadithi nyingine hapa.
Nonetheless, #stillBlue #ktbffh #cfc
Drogba zamani. Sio sasa
Mimi nasema hivii Petr Cech arudi golini huyu dogo anatuzingua. Nina uhakika Cech lile goli angelipangua...nammind sana huyu dogo sometimes anaokoa poa sana next anafungwa goli la kizembe tu. Wala sio defence apo.
Next ni attacking mid aliyoipanga Mou ni sawa kabisa na alivyopanga Ntuzu na mimi nilikataa. Game kama ile ni ya kucheza against Man utd wenye defence kama wavu wa goli.
Mimi ningependelea iwe Hazard-Oscar-Schurrle/Willian. Yani game ya jana si ya Oscar kukosa sijui kwa nini Mou huwa hamuamini huyu dogo hana nguvu ila akili anayo. Kawaweka Willian na Hazard wote ni kupoteza mipira tu...ndo maana huwa nampenda Schurrle sana..yupo goal oriented.
Shitty walituzidi kutokana na safu iliyopangwa ya Chelsea.
Halafu Mou akafanya subs haraka kiasi. Ok simlaumu sana lakini angesubiri kabla ya kumuweka Mikel (defence oriented) halafu Zaba akaipata ile red card...am sure ingekuwa ni hadithi nyingine hapa.
Nonetheless, #stillBlue #ktbffh #cfc