Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1410207916207_wps_52_Spain_s_midfielder_Cesc_F.jpg
 
karibu Khantwe..samahani sijajua kama we ni ME au KE..
Ila karibu jamvini..

uliposema wakipotea nyumbani utakuja kuwatafuta humu ndo nikasema 'mlezi' umekuja kuwatafuta...
uwe na amani mgeni wetu..

Mkuu agosti huyo Khantwe ni usingizi wangu.
kwa hiyo mkuu Ntuzu; kule MMU wewe unashikilia wadhifa gani?
😛eep:


Kule MMU mkuu mi nipo tu ktk timu yetu moja iitwayo #teamrafiki na mimi ni mshirika wa kawaida tu.
 
Last edited by a moderator:
karibu mkuu RRONDO..
tuendelee na maisha ya mpira..wiki hii angalau tutakuwa na stori nyingi maana premier league inarejea jumamosi..

on top..CHELSEA FC

MISSION ACCOMPLISHED!!!!!!!!!!mission yangu leo ilikuwa kuhakikisha thread hii inafika pages 900!!!! haiwezekani timu kubwa kama hii page chini ya 1000 miaka yote hio!!!! kama pages za thread zingekuwa ndio points kwenye league arsenal wangekuwa mabingwa kila mwaka!!!
 
karibu mkuu..lakini tuko kwenye top 3..

na siku zote tutakuwa hapo..hasa mwaka huu ambao tunafanikiwa sana..
Arsenal Fc iko juu kwa sababu watu wanaenda kule kuwacheka wazee wa # 4 kila mwaka...

but kwangu la muhimu ni mijadala hai..kama tunavyofanya..
CHELSEA FC - FOREVER BLUE.


MISSION ACCOMPLISHED!!!!!!!!!!mission yangu leo ilikuwa kuhakikisha thread hii inafika pages 900!!!! haiwezekani timu kubwa kama hii page chini ya 1000 miaka yote hio!!!! kama pages za thread zingekuwa ndio points kwenye league arsenal wangekuwa mabingwa kila mwaka!!!
 
I will always feel a Gunner and I know that I am going to return to [the Emirates Stadium] and I feel that it will be a special moment but I am committed,' Fabregas told El Pais.'Remember that I played a Champions League final against Barcelona. I swear to you that I would have done anything to win that game even though I’d been Barcelona since I was a kid.
'So you know that when I play against Arsenal I will know who I am playing with, who my teammates are and who I will defend and I know that the Arsenal fans will understand; I have no doubt.'
The midfielder had a number of run-ins with Chelsea during his previous spell in England, and was more surprised than anyone to end up in blue.
He said: 'If you’d told me five years ago that I would play for Chelsea and Mourinho I would not have believed you, but life changes.
'I spoke with my agent and told him to find me a team. Chelsea’s offer arrived and for me it was about returning to London, the place where I did best.
'There was no better exit. I spoke with Mourinho and he told me things that I needed to hear. I felt valued, felt that I was going to be part of something important.'





Fabregas kasema moyo wake uko arsenal hapo anatengeneza pesa tu....
 
I will always feel a Gunner and I know that I am going to return to [the Emirates Stadium] and I feel that it will be a special moment but I am committed,' Fabregas told El Pais.'Remember that I played a Champions League final against Barcelona. I swear to you that I would have done anything to win that game even though I'd been Barcelona since I was a kid.
'So you know that when I play against Arsenal I will know who I am playing with, who my teammates are and who I will defend and I know that the Arsenal fans will understand; I have no doubt.'
The midfielder had a number of run-ins with Chelsea during his previous spell in England, and was more surprised than anyone to end up in blue.
He said: 'If you'd told me five years ago that I would play for Chelsea and Mourinho I would not have believed you, but life changes.
'I spoke with my agent and told him to find me a team. Chelsea's offer arrived and for me it was about returning to London, the place where I did best.
'There was no better exit. I spoke with Mourinho and he told me things that I needed to hear. I felt valued, felt that I was going to be part of something important.'

thats what u do when ur 'professional'......
 
DOWN MEMORY LANE:

1410178359976_wps_23_Chelsea_s_Crespo_waits_to.jpg


NAME: HERNAN CRESPO
NATIONALITY: ARGENTINE
PRICE: £16.8 million
YEAR:
AUGUST 2003


GOALS: 12 GOALS (PREMIER LEAGUE) - 2003/2004 SEASON

LOAN: AC MILAN 2004/2005 SEASON


1410178390261_wps_25_CHELSEA_V_BARCELONA_1_2_C.jpg


BACK TO CHELSEA 2005/2006: 25 PL GOALS IN 73 GAMES


 
MISSION ACCOMPLISHED!!!!!!!!!!mission yangu leo ilikuwa kuhakikisha thread hii inafika pages 900!!!! haiwezekani timu kubwa kama hii page chini ya 1000 miaka yote hio!!!! kama pages za thread zingekuwa ndio points kwenye league arsenal wangekuwa mabingwa kila mwaka!!!

Shukrani Kubwa iende kwa agosti 8, Ntuzu, Mourinho, RRONDO, Mentor na wengineo ambao kwa kutokukusudia sijawataja hapa lakini mpo Active member wa the Chelsea FC Thread,

Kwa kweli Mmeinyanyua Thread sana kiasi kwamba haipiti siku bila mtu kuja kuchungulia kama kuna updates gani zimekuwa added,

Thanks All ,

kuna timu Nyingi zinavaa blue England lakini Chelsea ni TRUE BLUES
 
Last edited by a moderator:
asante mkuu Kituko..

kweli kabisa ..sisi ndo the CHAMPIONS.


Shukrani Kubwa iende kwa agosti 8, Ntuzu, Mourinho, RRONDO, Mentor na wengineo ambao kwa kutokukusudia sijawataja hapa lakini mpo Active member wa the Chelsea FC Thread,

Kwa kweli Mmeinyanyua Thread sana kiasi kwamba haipiti siku bila mtu kuja kuchungulia kama kuna updates gani zimekuwa added,

Thanks All ,

kuna timu Nyingi zinavaa blue England lakini Chelsea ni TRUE BLUES
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom