Raha ya mpira ni makombe!
Sasa kama timu haichukui makombe raha yatoka wapi?
Yaani, mara ya mwisho Arsenal ilipochukua kombe, kama kulikuwa na mtu yuko 'form one' enzi hizo sasa yuko chuoni tayari!
Arsenal ni kiboko yao! Walishangilia kuwa timu ya 4! Duuh!
![]()
huyu dogo anatia huruma sana..aliondoka kwa mbwembwe sana.
Sasa kule alikoenda hana thamani..bora hata kwetu alikua anapendwa
na mashabiki...
kule aliko wanataka wamtoe/aondoke..
ama kweli mkataa pema..pabaya panamwita.:A S 109:
acha majungu wewe......
nimetoka mbali..hapa ilikuwa ukurasa wa 487.
asanteni..jukwaa linasonga mbele..
cc.Ntuzu, Mentor, Peasant, Mourinho, kunguru, safety, viol, batungbro{amejificha skyscrapercity}, na fans wote wa chelsea.
namzingua tu huyu agosti 8 anachonga sana....namba ya Mata wanacheza wengi sasa hivi kwa hio yeye ni surplus pale
na wewe ushaamka mpiga kelele namba 2!!!!!! tutaheshimiana mwaka huu wewe subiri tu....
Ni kweli mkuu, maana Mata ni mzuri sana akicheza namba kumi lakini ile namba pale Manchester utd ni ya Rooney.
Hivyo inakuwa ngumu sana kwake na ujio wa Falcao na Di Maria ndo umemwaribia kabisa hali ya hewa.
Kwa sasa ana hali ngumu sana pale.
Yani kwa kumsajili Farao na Angel Maria na Urojo basi mmekua wababe? Tatizo lipo kwa kocha wenu.
We ngoja tarehe 25 october nakuja Ot kukuduga.
Pamoja mkuu RRONDO nguli wa Man 7.
tumeimarisha ulinzi:luke shaw,rojo,blind
tumeimarisha kiungo:di maria,herera,blind
tumeimarisha ushambuliaji:falcao
yaani nyinyi mkipona 3-0....wenzenu arsenal tunapiga 8 tena!!!! tutaheshimiana mwaka huu wewe subiri tu....
Hahahaaaaaa! Van Gaal hana uwezo wa kumfunga Jose Mourinho ila Jose Mourinho ana uwezo wa kumfunga Van Gaal
sawa tusubiri hio october 25 uliosema....tutaheshimiana tu mwaka huu wewe subiri tu....