Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

10644906_10152778935917259_7940270292490978804_n.jpg

HAPPY BIURTHDAY OSCAR
 
ok tell me what happened after atletico game???!! u went missing for more than 72hrs!!!


Hahaaaa mi nilikuwepo na nilijibu hoja zenu zote. Ebu rudi ukaangalie huko nyuma.

Hii comment Imenichekesha....imebidi nikugongee tu like ila mi mpitaji tu..



Hahahaaaa mama mchungaji upo? Leo umepita ktk nyumba yetu? Karibu sn mamito.
 
Hahaaaa mi nilikuwepo na nilijibu hoja zenu zote. Ebu rudi ukaangalie huko nyuma.





Hahahaaaa mama mchungaji upo? Leo umepita ktk nyumba yetu? Karibu sn mamito.

ha ha ha ha ha huyu bro wangu najua wapi huwa tunakutana huku nyumbani kukiwa hakukakliki!!!

We RRONDO umesababisha mpk mke wangu Khantwe mama mchungaji kanifata huku, wewe kweli nouma.

Asante nlipita kuwajulieni hali tu hapa kijiweni kwenu ili njue kwa kuwatafutia watu wakipotea nyumbani
 
Last edited by a moderator:
Mkuu RRONDO unajua mimi huwa nipo jamvini..muda wote..unakumbuka wakati ambapo wewe na wenzako mlienda likizo? ulikuwa unapita humu unanikuta unaanza kusema eti mbona wee unashinda jamvini kila wakati..:A S-eek:

kuhusu Ntuzu na Mentor; wewe hapo RRONDO huwa unawashawishi waende MMU sijui mnafuata nini kule..ipo siku nitakuja kuwatafuteni huko...

mkuu wewe tulia..sisi tunapiga SWANSEA CITY jumamosi na kufikisha 12..wewe jipange na mechi yako na QPR...:spit:



Ntuzu and agosti 8 never run mkulu. We are always here at our house.
 
Mkuu RRONDO unajua mimi huwa nipo jamvini..muda wote..unakumbuka wakati ambapo wewe na wenzako mlienda likizo? ulikuwa unapita humu unanikuta unaanza kusema eti mbona wee unashinda jamvini kila wakati..:A S-eek:

kuhusu Ntuzu na Mentor; wewe hapo RRONDO huwa unawashawishi waende MMU sijui mnafuata nini kule..ipo siku nitakuja kuwatafuteni huko...

mkuu wewe tulia..sisi tunapiga SWANSEA CITY jumamosi na kufikisha 12..wewe jipange na mechi yako na QPR...:spit:

umeamka eeh karibu nyumbani kwako.....nilishavamia asubuhi kumbe muhusika ulikuwa lindoni.
 
karibu mkuu RRONDO..
tuendelee na maisha ya mpira..wiki hii angalau tutakuwa na stori nyingi maana premier league inarejea jumamosi..

on top..CHELSEA FC


umeamka eeh karibu nyumbani kwako.....nilishavamia asubuhi kumbe muhusika ulikuwa lindoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom